FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,416
- 7,828
Acha ubishi kwanza, soma hiyo sheria kwa makini!Vilaza mpo wengi Sana.
Sheria inaanza kuwa applicable kuanzia kwenye nomination process.
Nomination hufanyika na chama.
Makosa yanakuwa accounted kwenye nomination process, election campaign na election.
Unaelewa maana ya Nomination Process?