swala kama hilo mkuu wa wilaya hausiki
mkuu wa wilaya yy ni mkubwa lkn mkurugenz ndo mwenye dhamana ya fedha yy ndo atakua amesaini mikataba ya ujenzi hapo unakuta hata mkuu wa wilaya akikagua anaona ujenz unaendelea tu vzr na gharama akadanganywa
watu wa kuwajibishwa kea tukio hilo
kwanza ni...
Mwaka jana baada ya kufanya oral interview ya Tra nikapigwa chini nafasi zilikua 145 nilikata tamaa sana yan zote hzo sikupata
after a month nikaitwa tena interview post 1 watu 300
na nilikua mkoa,,,kimbembe ikawa kwenda watu weng esp family walikua hawana hopes lkn mm hata sijui why nilikua...
Hadi Kuona private company zinafanikiwa ni juhudi ya serikal kwa kuweka mazingira mazur kwa wajasiriamali walioanzisha viwanda vyao
Leo mtu kama dangote ana lalamika mazingira sio rafiki kwa uwekezaji katika nchi imagine kwa mtu ambae ndo anaanza na capital ya kukopa itakuaje
Ma dc na Rc...
sumtimes mm ndo maana nawakubal malaya
sijawah kutembea na mwanamke wa kawaida akanisistizia condom lkn hawa malaya ukiingia nae swali la kwanza una condom??
hawa wa madem ndo wanatuua basi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
ubaya wa sheria ukianza kuipindisha kwa ajili ya mtu flani hapo ndo uta fail daima
kama kweli vifaa vinakuja kwa ajili ya misaada ya walimu kwann visiingizwe kwa jina la taasisi husika???
Leo yy ndo kawa wa kwanza kuomba misaada nje??
Rais mwenyewe haagizi kwa jina lake who is he mpaka yy awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.