Ndugu wana JF nimeona kagari kamoja huko kwenye mitandao ka mwaka 2002 kanauzwa 2000usd CIF. kwa mimi katanifaa, lakini kwa mnaojua kukokotoa ushuru hapo bandarini naomba mnisaidie naweza kutozwa ushuru sh ngapi? gari ni ya cc 1300.
Ndugu wana JF,
Naomba mwenye utaalamu anisaidie nataka kufuga mbwa mkali kama wa polisi, nitampata wapi, vyakula vyake ,matibabu yake nk. kwa ujumla jinsi ya kuweza kumiliki mbwa kama wa polisi.
Ngugu wana jf nataka kufuga mbwa mkali kama wa polisi nisaidieni mawazo kwa anayejua, nitampata wapi, vyakula madawa pamoja na maelezo mengine yatakayo nisaidia. Natanguliza shukrani.
Ameline hayo ni MAKWEME yanastawi sana mwika mamba marangu kilema kirua vunjo nk na hicho kigari kwetu rombo kinaitwa KIPURUSA na mimi nilikua mkali wao ktkt kuvitengeneza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.