LEE VAN CLEEF
Member
- Feb 28, 2013
- 29
- 5
Ndugu wana JF nimeona kagari kamoja huko kwenye mitandao ka mwaka 2002 kanauzwa 2000usd CIF. kwa mimi katanifaa, lakini kwa mnaojua kukokotoa ushuru hapo bandarini naomba mnisaidie naweza kutozwa ushuru sh ngapi? gari ni ya cc 1300.