Wadau mm nina astashahada ya kilimo na mifugo natafuta kazi inayoendana na fani yangu katka makampuni na pia hata ktk mashamba ya watu binafsi popote niko tayari kufanya kazi
habari zenu wapendwa mm ni mtaalamu wa kilimo na mifugo nina astashahada kwa yeyote mwenye uhitaji plz tuwasiliane au kama kuna sehemu ambayo wanahitaji bibi/bwana shamba pm me tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.