habari zenu wapendwa mm ni mtaalamu wa kilimo na mifugo nina astashahada kwa yeyote mwenye uhitaji plz tuwasiliane au kama kuna sehemu ambayo wanahitaji bibi/bwana shamba pm me tafadhali
Ledisia wasiliana na Mh @Nchemba Mwigulu kuna ile hoja yake alipendekeze watu kama nyie mpewe mitaji mkafanye shughuli za uzalishaji kwa kutumia hizo taaluma zenu
kaz hii hapa, but this is for extra ordinary people who wants extra ordinary income.if you want standard income then this is not yours.follow this link if you want extra ordinary lifestyle http://www.qlsgroupweb.net/invitation.cfm?v=M&i=KS108309
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.