Mkuu kama umeniona, juzi nafanya usafi kwenye mfereji(umepita home) nusu nishike pedi na pampasi.
Watu inabidi wajue hivyo vitu vinaweza kufanyiwa maagano ya kiroho, watarogwa.
Nikija oa mwanamke wa aina hiyo nambutua divorce chap chap.
Mondi yuko sahihi 100% kwenye upande wa uwekezaji lakini kuna sehemu ni kama mzani unayumba.
Anaongea mwanzo mwisho kuhusu kutoa mbona hasemi kuhusu kupokea! Hoja zake ni kama amewekeza pesa kubwa halafu uwekezaji haumlipi!
Ni nani asiyejuwa Rayvanny alikuwa ndio msanii anayefanya vizuri...
Typical Tanzanian man, kwenye harusi unaleta habari za msiba!.
Hiyo yako ni topic nyingine na ya siku nyingine kwa leo tunasheherekea uchoyo wa Sakho ulivyotuheshimisha. Learn to appreciate where its due
Hivi hizi mada huwa mnaanzisha kwa ajili ya kutafuta sifa ili muwavue kyupi maadvocate wa 50/50 humu jukwaani au?. Hiki ulichoandika huku uraiani hakipo applicable kabisa, hakuna mwanaume nishawahi ona anaendesha ndoa kwa misingi hiyo.
Ok labda tukubaliane kutokukubaliana kwasababu katiba ina...
Sikumbuki nilisoma wapi ila inasemekana hapo awali Kiswahili kiliandikwa kwa herufi za Kiarab. Kama hili ni kweli huoni kama sio sahihi kuhusianisha hiyo barua na dini ya Mkwawa?
Nimesoma na mtu kutoka kwenye huo ukoo, nitafuatilia kuhusu hili.
Hata mimi wakati ungerudi nyuma ni either ningeopt chuo au chuo cha ufundi(veta). Nilipotezea credit za Physics,Chemistry na Maths sasa hivi najiona fala kusoma advance HGL.
Pili kwa hizo one zao ni ngumu sana kutoka na ufaulu wa kuridhisha. Shule niliyosoma na michepuo ya science ilikuwepo...
CC ya CCM wamekubaliana na sisi kwenye suala la katiba mpya, hii inathibitisha hata CCM wenyewe wanatukubali kwenye masuala ya kupigania maslahi ya wananchi.
Haya nenda kakinge buku teni hilo kwa Tulia. Usisahau pia kumpa salamu kwamba atulie wana Mbeya 2025 tunamletea Sugu amsugue.
Wewe ndio ufuatilie maana mimi hutonidanganya kuhusu kayumba au international, nishapita kwote huko. Mbona mashoga wengi wanatokea mitaa ya waswahili kwa wingi ambako wanatokea watoto wengi wa kayumba?
Hawapo tayari kuendana na mabadiliko, wenzetu walishahama huko kwenye simu kuwa mjadala achilia mbali issue ya viboko.
Nimebahatika kupita international na kayumba kwenye level ya msingi. Akili ya mtoto wa darasa la 7 kayumba inawezekana kazidiwa na mtoto wa grade 4 international. Watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.