Wapumbavu wachache ndio wanaoponda Ila PK ndyo da best president ever afrika ingawa kuna kipindi hata mm alinikonfuse kwa kumngua raisi wangu jmk pia na kuwazingua wapinzan wake wakiwepo wahutu Ila jamaa angekuwa nchi yenye raslmali nying Kama tz nahisi Rwanda ingekuwa Korea kusini ya afrika au...
Kuna kipindi geto samaki mmmoja nilikaa nae wiki nzima yaani ni mwendo wa kuongeza maji na kupasha alafu nakula mchuzi na ugali tu samaki simguai ili kesho niongeze maji nimpashe tena yaani sio pw mpaka samaki alibadilika radha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.