Tunashukuru hata kwa kuturudia kaka mkubwa... Nilikuwa na"scroll tu kutafuta mwendelezo wa stori nakuta maujinga + mabishano ya hovyo ya baadhi ya memba..... Keep it up kaka mkubwa
TOKOMEZA ZEROOO
Aliwahi kusema "Dar es Salaam bila Zero inawezekana"
Uwiiiii, ss naona Jiji linaongoza kwa Zero na kiongozi wao alipata ZEROOO..
[emoji40][emoji40]Nashangaa Aaaaaahhhhh [emoji40][emoji40]
Kwan siasa sio Imani?
Hao wote unaowafahamu kama wanasiasa unadhani wanajifurahisha??
Wana imani na kile wanachofanyaa.
Imani ni kuamini kile unachofanya wala sio lazima usali wala kuswali..
Polee,
Kwan kuwa rais ndio kunamfanya mtu ajione yeye amekamilika kuliko wengine wamzungukao? N still mtu anataka nguvu ya Mungu wakati hamtaki Mungu..
Hahaa[emoji13] [emoji13] [emoji13] pole kwa sana ongeza maarifaaaaaaaa
Lengo la serikali ni kuzuia watu wasome hakuna jingine, tangu walipoanza kusema SIFA NA VIGEZO na hii inaonyesha kuwa hakuna mkwanja wa kuendesha Elimu bali ni ujenzi na ununuzi wa [emoji574] na [emoji577] la umemee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.