Kwanini wapinzani mnageuza Mahakama kama ulingo wa kisiasa?

Hivi Kati ya ccm na wapinzani wanaotumia mahakama kuwakandamiza wengine ni nani? Ni viongozi wangapi mpaka sasa wa upinzani ambao wana kesi zilizofunguliwa na ccm na wengine wanatumikia vifungo? Tumieni vichwa vyenu kufikiri siyo kufugia nywele


Naam, hilo ndilo lengo. Wanasiasa uchwara wa upinzani wanafanya vitimbi vya makusudi ili wachukuliwe sheria na dola, ili watu kama wewe msiyeweza kutumia vichwa vyenu kufikiri muone wanaonewa. Hilo ndiyo lengo la upinzani kwa sasa.

Wenye vichwa ambavyo havijajazwa ujinga tumeshalibaini hilo.
 
Wapinzani wameishiwa na mbinu za kisiasa, sasa wanatafuta huruma ya wananchi.

Mkakati uliojionesha wazi ni kuwa wanafanya kila uchokozi ili watiwe ndani waseme wanaonewa.

Wakumbuke tu, Magufuli hajaribiwi.
Mikutano ya hadhara mmewazuia, kuandamana mmewakataza, vikao vya ndani pia mnawavamia, sasa hata mahakamani hamtaki waende (hadi muwapeleke nyie kwa kuwashitaki baada ya kuwanyanyasa vituo vya Polisi) hivi mnaogopa nini enyi Wajivuni?
 
Wapinzani wameishiwa na mbinu za kisiasa, sasa wanatafuta huruma ya wananchi.

Mkakati uliojionesha wazi ni kuwa wanafanya kila uchokozi ili watiwe ndani waseme wanaonewa.

Wakumbuke tu, Magufuli hajaribiwi.

Alijaribiwa Mwana wa Mungu!!! Ni binadamu tu kama wewe, usitishike.
 
Wajuvi wa maswala ya kisheria wanafahamu kwamba Mahakama ni mahali ambapo haki inapatikana kwa usimamizi wa sheria.

Siku za hivi karibuni kumetokea kwa wimbi kubwa la kesi zisizo na kichwa wala miguu, either kwa kufunguliwa na wapinzani ama kwa wapinzani kushtakiwa kutokana na tuhuma mbali mbali.

Uchambuzi wa kina kuhusiana na hali hiyo, unapelekea mtu kuona uwepo wa movement flani nyuma ya hali hiyo.

Ukiangalia kwa makini utaona kwamba, mfululizo huu wa mashauri umekuja baada ya upinzani kuanza kukosa ushawishi na publicity waliyokuwa wakiifurahia hapo awali.

Njaa ya kurudisha upinzani katika hali yake ya awali, imepelekea kwa wapinzani kufanya kila lililo ndani ya uwezo wao ili mradi waonekane kuwa wapo.

Moja wapo ya mbinu zinazoonekana kutumika sasa ni kuitumia mahakama. Kwakuwa wapinzani wanamentality kuwa wanawanasheria wazuri, basi wameazimia kuitumia mahakama kama chaka lao la kufanyia siasa.

Mpinzani yupo tayari kufanya kosa la makusudi kabisa ili mradi tu afikishwe mahakamani ili agauze jambo lake binafsi kama agenda ya kitaifa.

Ni jambo la kusikitisha sana kuona hata maswala binafsi ya wapinzani yanageuzwa mzigo wa Watanzania.

Haya ni matumizi mabaya ya Mahakama.

Kitendo hiki ni kuigeuza Eneo hili linaloheshimika sana kama genge la walanguzi wa kisiasa.

Nawaasa ndugu zangu wapinzani kutoitumia mahakama kama kichaka cha kujifichia na ulingo wa kisiasa.

Wapinzania wanaonewa sana na watawala,Unataka wakimbilie wapi msituni wachukue silaha ili kufikisha ujumbe kwa watawala
 
Mikutano ya hadhara mmewazuia, kuandamana mmewakataza, vikao vya ndani pia mnawavamia, sasa hata mahakamani hamtaki waende (hadi muwapeleke nyie kwa kuwashitaki baada ya kuwanyanyasa vituo vya Polisi) hivi mnaogopa nini enyi Wajivuni?

Tuwaogope nini nyinyi?

Sasa hivi tumieni mbinu nyingine, hii ya kuonewa huruma imebuma.
 
Wajuvi wa maswala ya kisheria wanafahamu kwamba Mahakama ni mahali ambapo haki inapatikana kwa usimamizi wa sheria.

Siku za hivi karibuni kumetokea kwa wimbi kubwa la kesi zisizo na kichwa wala miguu, either kwa kufunguliwa na wapinzani ama kwa wapinzani kushtakiwa kutokana na tuhuma mbali mbali.

Uchambuzi wa kina kuhusiana na hali hiyo, unapelekea mtu kuona uwepo wa movement flani nyuma ya hali hiyo.

Ukiangalia kwa makini utaona kwamba, mfululizo huu wa mashauri umekuja baada ya upinzani kuanza kukosa ushawishi na publicity waliyokuwa wakiifurahia hapo awali.

Njaa ya kurudisha upinzani katika hali yake ya awali, imepelekea kwa wapinzani kufanya kila lililo ndani ya uwezo wao ili mradi waonekane kuwa wapo.

Moja wapo ya mbinu zinazoonekana kutumika sasa ni kuitumia mahakama. Kwakuwa wapinzani wanamentality kuwa wanawanasheria wazuri, basi wameazimia kuitumia mahakama kama chaka lao la kufanyia siasa.

Mpinzani yupo tayari kufanya kosa la makusudi kabisa ili mradi tu afikishwe mahakamani ili agauze jambo lake binafsi kama agenda ya kitaifa.

Ni jambo la kusikitisha sana kuona hata maswala binafsi ya wapinzani yanageuzwa mzigo wa Watanzania.

Haya ni matumizi mabaya ya Mahakama.

Kitendo hiki ni kuigeuza Eneo hili linaloheshimika sana kama genge la walanguzi wa kisiasa.

Nawaasa ndugu zangu wapinzani kutoitumia mahakama kama kichaka cha kujifichia na ulingo wa kisiasa.
Chama chako cha Mapimduzi baada ya kushindwa na hoja za wapinzani wameamua kutumia polisi kuwakamata wapinzani na kuwabambikia kesi, wanafikiri hiyo ndio njia ya kuwanyamazisha wabunge mahiri kama Lissu, Lema, nk. Mnajidanganya mnavyobwagwa mahakamani hata hamuoni aibu?
 
Tuwaogope nini nyinyi?

Sasa hivi tumieni mbinu nyingine, hii ya kuonewa huruma imebuma.
Wapinzani waliopelekwa mahakamani ni wengi mno, wengi kwa sababu za kipuuzi tu, wapinzani waliokwenda kushtaki ni wachache mno in comparison, hapo wanaotaka kuonewa huruma ni kina nani? Kumbe nyie ni mahodari wa kuita wenzenu kwenye vyombo vya sheria hata bila kufuata taratibu za kisheria, ona sasa, mkiitwa nyie, tena kwa taratibu za kisheria mnaingia mitini, Cowards! Mnanyima watu haki yao ya kikatiba ya kukutana na kuongea, mnataka muongee nyie tu, bila kukosolewa, mnaogopa nini, you Cowards? Alisema Nelson Mandels "Cowards die many times in their lives, but the Brave die only once!"
28e85a804a5ff99eeb74dc56e900de52.jpg
 
Ikumbukwe pia kuwa wapinzani ndiyo Watu wa kwanza kuituhumu mahakama kuwa ni chombo ambacho kinatumika na CCM kuwatisha wapinzani. Leo tena ndiyo wale wale ambao wanaitumia mahakama kama kick ya kujitafutia umaarufu. Alipohukumiwa Mbowe ilionekana mahakama zinatumika. Alipohukumiwa Lijualikali ilionekana Mahakama zinatumiwa na Chama Tawala, Ilipotolewa hukumu kuwa Wenje kashindwa, ikaonekana mahakama zina mkakati wa kuwamaliza wabunge wa upinzani kwa kuwaondoa kwa kutumia mahakama, aliposhindwa mbunge wa NCCR ikaonekana mahakama hazitendi haki, Rufaa ya Lema kushindikana tayari wazo la mashaka juu ya mahakama limeingia kwa Wapinzani. LAKINI aliposhinda Ester Bulaya, mahakama zinatenda haki, Amri kutolewa na Mahakama kuwa Mbowe asikamatwe hadi kwa kibali cha bunge hapa mahakama zinatenda haki. Je WAPINZANI HUU UTARATIBU NI SAWA?
 
Wajuvi wa maswala ya kisheria wanafahamu kwamba Mahakama ni mahali ambapo haki inapatikana kwa usimamizi wa sheria.

Siku za hivi karibuni kumetokea kwa wimbi kubwa la kesi zisizo na kichwa wala miguu, either kwa kufunguliwa na wapinzani ama kwa wapinzani kushtakiwa kutokana na tuhuma mbali mbali.

Uchambuzi wa kina kuhusiana na hali hiyo, unapelekea mtu kuona uwepo wa movement flani nyuma ya hali hiyo.

Ukiangalia kwa makini utaona kwamba, mfululizo huu wa mashauri umekuja baada ya upinzani kuanza kukosa ushawishi na publicity waliyokuwa wakiifurahia hapo awali.

Njaa ya kurudisha upinzani katika hali yake ya awali, imepelekea kwa wapinzani kufanya kila lililo ndani ya uwezo wao ili mradi waonekane kuwa wapo.

Moja wapo ya mbinu zinazoonekana kutumika sasa ni kuitumia mahakama. Kwakuwa wapinzani wanamentality kuwa wanawanasheria wazuri, basi wameazimia kuitumia mahakama kama chaka lao la kufanyia siasa.

Mpinzani yupo tayari kufanya kosa la makusudi kabisa ili mradi tu afikishwe mahakamani ili agauze jambo lake binafsi kama agenda ya kitaifa.

Ni jambo la kusikitisha sana kuona hata maswala binafsi ya wapinzani yanageuzwa mzigo wa Watanzania.

Haya ni matumizi mabaya ya Mahakama.

Kitendo hiki ni kuigeuza Eneo hili linaloheshimika sana kama genge la walanguzi wa kisiasa.

Nawaasa ndugu zangu wapinzani kutoitumia mahakama kama kichaka cha kujifichia na ulingo wa kisiasa.
05e04b2ce9d505be11fd6be4c2477f45.jpg


Sawa sawa......
 
Wapinzani wameishiwa na mbinu za kisiasa, sasa wanatafuta huruma ya wananchi.

Mkakati uliojionesha wazi ni kuwa wanafanya kila uchokozi ili watiwe ndani waseme wanaonewa.

Wakumbuke tu, Magufuli hajaribiwi.
"watiwe ndani" kama wewe unavyotiwa dushele.
 
Wajuvi wa maswala ya kisheria wanafahamu kwamba Mahakama ni mahali ambapo haki inapatikana kwa usimamizi wa sheria.

Siku za hivi karibuni kumetokea kwa wimbi kubwa la kesi zisizo na kichwa wala miguu, either kwa kufunguliwa na wapinzani ama kwa wapinzani kushtakiwa kutokana na tuhuma mbali mbali.

Uchambuzi wa kina kuhusiana na hali hiyo, unapelekea mtu kuona uwepo wa movement flani nyuma ya hali hiyo.

Ukiangalia kwa makini utaona kwamba, mfululizo huu wa mashauri umekuja baada ya upinzani kuanza kukosa ushawishi na publicity waliyokuwa wakiifurahia hapo awali.

Njaa ya kurudisha upinzani katika hali yake ya awali, imepelekea kwa wapinzani kufanya kila lililo ndani ya uwezo wao ili mradi waonekane kuwa wapo.

Moja wapo ya mbinu zinazoonekana kutumika sasa ni kuitumia mahakama. Kwakuwa wapinzani wanamentality kuwa wanawanasheria wazuri, basi wameazimia kuitumia mahakama kama chaka lao la kufanyia siasa.

Mpinzani yupo tayari kufanya kosa la makusudi kabisa ili mradi tu afikishwe mahakamani ili agauze jambo lake binafsi kama agenda ya kitaifa.

Ni jambo la kusikitisha sana kuona hata maswala binafsi ya wapinzani yanageuzwa mzigo wa Watanzania.

Haya ni matumizi mabaya ya Mahakama.

Kitendo hiki ni kuigeuza Eneo hili linaloheshimika sana kama genge la walanguzi wa kisiasa.

Nawaasa ndugu zangu wapinzani kutoitumia mahakama kama kichaka cha kujifichia na ulingo wa kisiasa.
umenena sawa mkuu. kwa mfano mtu unahitajika polisi kwa mahojiano kuhusu mambo binafsi unaenda mahakamani kutaka zuio usiitwe wala kukamatwa na polisi eti wewe ni kiongozi wa upinzani.
 
Magufuli is the president of Tanzania.

Unatuletea mambo ya Yesu , si mnaamini Yesu bila kufanyiwa vitimbi hamtaenda mbinguni au umesahau?
Polee,
Kwan kuwa rais ndio kunamfanya mtu ajione yeye amekamilika kuliko wengine wamzungukao? N still mtu anataka nguvu ya Mungu wakati hamtaki Mungu..
Hahaa pole kwa sana ongeza maarifaaaaaaaa
 
Majaribu ya Yesu yalikuwa ni ya kiimani zaidi sio kama haya ya kitanzania. JK alivumilia sarcasm na kila aina ya kejeli, sasa ukweli ni kwamba JK ni JK na JPM ni JPM.
Kwan siasa sio Imani?
Hao wote unaowafahamu kama wanasiasa unadhani wanajifurahisha??
Wana imani na kile wanachofanyaa.
Imani ni kuamini kile unachofanya wala sio lazima usali wala kuswali..
 
Hivi ww, kwa uelewa wako mahakamani kesho zilizopo ni za wapinzani? Anayeshtaki watu na kutumia mahakama vibaya ni ninyi serekali. Maana ya kumtuhumu Mbowe na wenzake ni serekali ili kutumia mahakama kisisa. Kibao kimewageukia mnaanza kusema upinzani unatumia mahakama vibaya. Nani anayeagiza watu washughulikiwe? Mbona lema mmewza mpaka kuingilia mahakama?
 
Back
Top Bottom