wakupiga kz hawapo jf, umeingia uku ina maana meza nyeupe hauna files na pesa ipo benki uliyokopa kila mwezi unairejeshea, kama pesa ni yako ukiweka 18% p.a kama nmb still utakua na profit nzur tu, lakini tokana na wewe umekopa ndo maana unatuwekea 40%