Recent content by Lazaroj

  1. Lazaroj

    Tuliosoma nje ya nchi tunanyanyapaliwa sana

    Umesoma chuo ada milioni 20 kwa mwaka ,unakuja bongo kwenye kazi ya laki 8 kwa mwezi ,huo ni ufala,bakini hukohuko
  2. Lazaroj

    Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

    Sidhani kama mfumo una tatizo lolote, labda kama kuna matatizo madogo ya kurekebisha ,pia umesaidia sana katika uombaji wa kazi umekuwa rahisi,lakini pia wewe una degree na diploma kwanini uombe kazi ya diploma ,je wadiploma afanye nini,tuache ubinafsi tuangalie mambo kwa mapana yake
  3. Lazaroj

    Kuuliza siyo ujinga: Uzito huu nikiubadili katika kimiminika utakuwa lita ngapi?

    Kg za nini? Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
  4. Lazaroj

    Kada ya Engineering, ualimu Tamisemi

    Hapa kila mtu asikilize moyo wake unataka nini,usikurupuke kisa mtu kasema alienda akabadilisha saivi yuko kitengo, kumbukeni bahati hazifanani, kama imetokea kwa mwenzio sio lazima na kwako,matarajio yanaumiza wengi mtakuja kufa na magonjwa ya tumbo,fanya maamuzi yako binafsi kwa ajili ya...
  5. Lazaroj

    Jamhuri ya Uturuki | Türkiye Cumhuriyeti

    Mtetezi wa mabeberu Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
  6. Lazaroj

    Baada ya Kenya kuibiwa na wachina kwa kupandishiwa bei katika ujenzi wa SGR, yazinduka na kuwafukuza Wachina

    Si hakika kama unajua ujenzi wa tuta la reli na uwekaji wa njia ya umeme kwenye reli ni miradi miwili tofauti.
  7. Lazaroj

    Baada ya Kenya kuibiwa na wachina kwa kupandishiwa bei katika ujenzi wa SGR, yazinduka na kuwafukuza Wachina

    Unajua tofauti ya reli ya umeme na SGR? Jaribu kuelewa jambo kabla hujajenga hoja zako,vinginevyo utaonekana unaongea vitu usivyovijua
  8. Lazaroj

    Baada ya Kenya kuibiwa na wachina kwa kupandishiwa bei katika ujenzi wa SGR, yazinduka na kuwafukuza Wachina

    Gharama ya km 1 ya barabara kwenye rock excavation haiwezi kuwa sawa na km 1 ya barabara kwenye common excavation,ni kama kulazimisha gharama ya lita moja ya mafuta dar iwe sawa na Mwanza.
  9. Lazaroj

    Baada ya Kenya kuibiwa na wachina kwa kupandishiwa bei katika ujenzi wa SGR, yazinduka na kuwafukuza Wachina

    Shida yako unaongea vitu ambavyo huvielewi,kutoka dar to morogoro ni km 205km lakini ukiweka na links zake ni karibu km 300
  10. Lazaroj

    Baada ya Kenya kuibiwa na wachina kwa kupandishiwa bei katika ujenzi wa SGR, yazinduka na kuwafukuza Wachina

    Mtu yoyote anayetukana badala ya kujenga hoja huyo hana akili, ila kwa kukusaidia tu kuna lot 5 mpaka Mwanza, mbili tayari zishamaliza $3.1B na hiyo ni contract price bado hujaongeza variations ambazo zimetokea.
  11. Lazaroj

    Baada ya Kenya kuibiwa na wachina kwa kupandishiwa bei katika ujenzi wa SGR, yazinduka na kuwafukuza Wachina

    joto la jiwe, Je unajua $7.9B ilikuwa gharama ya SGR kwa km ngapi?je unajua kwahizi lot mbili,dar-morogoro na morogoro-makutupora mpaka sasa zimekula $ ngapi?simtetei Mchina ila kama mambo ya kupigwa tunayataka wenyewe na hiyo SGR ikija kuisha huenda gharama zikawa kubwa kuliko hicho...
  12. Lazaroj

    Hizi Deodorant nyingi fake zimeingia Madukani

    Mwandiko kama binti mwajuma vile, binti utakuwa mrembo sana wewe. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Lazaroj

    Hizi Deodorant nyingi fake zimeingia Madukani

    Mwanaume unapakapaka madude kwenye makwapa,mwanaume unatumia gwanji tu,inatosha. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Lazaroj

    Hizi Deodorant nyingi fake zimeingia Madukani

    Mwanaume unapakapaka madude kwenye makwapa,mwanaume unatumia gwanji tu,inatosha Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom