Kuuliza siyo ujinga: Uzito huu nikiubadili katika kimiminika utakuwa lita ngapi?

Hayo mafuta ya kupikia yana density gani? Mafuta ya kupikia yapo ya aina nyingi.
“The density of the oils varies with each type and temperature. The range is from 0.91 to 0.93 g/cm3 between the temperatures of 15 °C and 25 °C. Comparing to water, whose density is 1.00 g/ml, cooking oil is less dense.”
Tukichukulia mafuta yako yana density ya chini ya makadirio ya 0.91g/cm cube, na tunajua Density = mass/volume, hivyo ujazo = uzito /density, ujazo unakuwa 17kg/ 910kg/meter cube , ambayo ni sawa na 0.018681318681319 cubic meter za ujazo, ambayo ni sawa na lita 18.68132 za ujazo kwa kila kilo 17 za uzito za mafuta hayo
Hapa naona umechanganya madesa ndugu yangu
Kwani mafuta ya kupikia sio kimiminika?(liquid)
Labda tujuzane kimiminika NI Nini?
Maana unaweza kukomaa kujibu swali ambalo NI tata
 
Uzito wa kitu hutegemea na ukaribu wa particles(compactness) zinazounda hicho kitu.

Mfano lita moja ya maji ni around 1Kg kwenye uzito.

Lakini Lita moja ya Mercury ni around 13.6Kg.

Lakini zote ni lita 1.
Hapa nimekuelewa
 
Hapa naona umechanganya madesa ndugu yangu
Kwani mafuta ya kupikia sio kimiminika?(liquid)
Labda tujuzane kimiminika NI Nini?
Maana unaweza kukomaa kujibu swali ambalo NI tata
Nani kasema mafuta ya kula sio kimiminika?
 
Uzito wa kitu hutegemea na ukaribu wa particles(compactness) zinazounda hicho kitu.

Mfano lita moja ya maji ni around 1Kg kwenye uzito.

Lakini Lita moja ya Mercury ni around 13.6Kg.

Lakini zote ni lita 1.
Hapa kama mleta mada hajaelewa hawezi kuelewa tena kamwe!

Everyday is Saturday..............................:cool:
 
Kwamfano uzito wa mafuta ya kupikia
Kama ni mafuta ya kupikia uzito utapungua
Uzito wa maji ni 1g/cm[SUP]3[/SUP]
Uzito wa mafuta ni ~0.8g/cm[SUP]3[/SUP]
kwa hio hizo lita 17 za mafuta itakuwa ni ~0.8*17=13.6 kg. Nadhani tuko pamoja kamanda.
 
Uzito wa kitu chochote kwenda kimiminika unategemea na density. Mfano maji yana density ya 1000g/cm3 kwa hiyo gram 1kg ya maji sawa na litre 1. Ila mafuta taa mafuta ya kula, petrol vinatofautiana kulingana na density yake
 
Uzito wa kitu chochote kwenda kimiminika unategemea na density. Mfano maji yana density ya 1000g/cm3 kwa hiyo gram 1kg ya maji sawa na litre 1. Ila mafuta taa mafuta ya kula, petrol vinatofautiana kulingana na density yake
Hapo kwenye juu penye bold hapajakaa sawa kaka. Density ya maji ni 1g/cm[SUP]3[/SUP]
 
Hayo mafuta ya kupikia yana density gani? Mafuta ya kupikia yapo ya aina nyingi.
“The density of the oils varies with each type and temperature. The range is from 0.91 to 0.93 g/cm3 between the temperatures of 15 °C and 25 °C. Comparing to water, whose density is 1.00 g/ml, cooking oil is less dense.”
Tukichukulia mafuta yako yana density ya chini ya makadirio ya 0.91g/cm cube, na tunajua Density = mass/volume, hivyo ujazo = uzito /density, ujazo unakuwa 17kg/ 910kg/meter cube , ambayo ni sawa na 0.018681318681319 cubic meter za ujazo, ambayo ni sawa na lita 18.68132 za ujazo kwa kila kilo 17 za uzito za mafuta hayo
Mtakuja kutuua aisee....duh
 
Nani kasema mafuta ya kula sio kimiminika?
Amesema anataka kubadilisha hayo mafuta kuwa kimiminika ndipo nikauliza kwani mafuta sio kimiminika?
Lakini nimeeewa baadae anazungumzia mafuta ambayo ni solid anataka yawe liquid(kimiminika)
Ndio maana niliuliza sikuwa nimeelewa kwani mafuta ambayo ni solid si kimiminika

SIO UNADANDIA GARI KWA MBELE
 
Nimeuliza swali
Sasa na wewe unaniuliza swali
Umeuliza swali as if kuna mtu humu kasema kwamba si kimiminika, sasa hapo ndio niliposhangaa, na kukujibi kwa style ya swali, hilo pia ni jibu. Sasa na wewe jibu swali langu, kwani kuna mtu humu amesema sio kimiminika?
 
Amesema anataka kubadilisha hayo mafuta kuwa kimiminika ndipo nikauliza kwani mafuta sio kimiminika?
Lakini nimeeewa baadae anazungumzia mafuta ambayo ni solid anataka yawe liquid(kimiminika)
Ndio maana niliuliza sikuwa nimeelewa kwani mafuta ambayo ni solid si kimiminika

SIO UNADANDIA GARI KWA MBELE
La hasha hakusema anataka kubadili mafuta kuwa kimiminika, infact mafuta kaja kuyazungumzia baadae baada ya kuulizwa ni kitu gani. Yeye alitaka tu kujua, kitu chenye kilo 17 kinakuwa na ujazo gani? Hicho ndicho alichouliza
 
La hasha hakusema anataka kubadili mafuta kuwa kimiminika, infact mafuta kaja kuyazungumzia baadae baada ya kuulizwa aina ya mafuta. Yeye alitaka tu kujua, kitu chenye kilo 17 kinakuwa na ujazo gani? Hicho ndicho alichouliza
Duu kweli tunatofautiana kwenye kuelewa swali
Soma swali vizuri
 
Kama ni mafuta ya kupikia uzito utapungua
Uzito wa maji ni 1g/cm[SUP]3[/SUP]
Uzito wa mafuta ni ~0.8g/cm[SUP]3[/SUP]
kwa hio hizo lita 17 za mafuta itakuwa ni ~0.8*17=13.6 kg. Nadhani tuko pamoja kamanda.
Si kweli! The less dense the more volume, kama density ya mafuta ni chini ya density ya maji, maana yake kwa uzito ule ule ujazo wake utakuwa zaidi ya ujazo wa maji kwa kilo zile zile za uzito
 
Uzito wa kitu chochote kwenda kimiminika unategemea na density. Mfano maji yana density ya 1000g/cm3 kwa hiyo gram 1kg ya maji sawa na litre 1. Ila mafuta taa mafuta ya kula, petrol vinatofautiana kulingana na density yake
Density ya maji ni 1g/cm3 na sio 1000g/ cm3
 
Duu kweli tunatofautiana kwenye kuelewa swali
Soma swali vizuri
Kauliza hivi

“Naomba kuuliza, Uzito wa kg 17 ukiubadili ukawa kimiminika utakuwa nisawa na ujazo wa lita ngapi?”

Sasa mafuta aliotaka kuyabadilisha kuwa kimiminika we umeyaona kwenye swali lipi?

Na bahati nzuri hajafuta wala kubadili swali, nenda post namba 1 kalisome kama huamini,
Kumbuka tunachobadili toka kilo kuwa ujazo ni conversion tu, kwamba kilo flani za kitu flani katika ujazo ni kiasi gani? Hata kama hicho kitu ni kimiminika tayari, bado unaweza kubadili kilo zake kuwa ujazo kama density yake unaijua
 
La hasha hakusema anataka kubadili mafuta kuwa kimiminika, infact mafuta kaja kuyazungumzia baadae baada ya kuulizwa aina ya mafuta. Yeye alitaka tu kujua, kitu chenye kilo 17 kinakuwa na ujazo gani? Hicho ndicho alichouliza
Amesema uzito was 17kg akiubadili ukawa kiimiminika( inamaana hyo item aliyonayo si kimiminika Sasa anataka kubadilisha hyo item iwe kimiminika) akauliza je nitapata Lita ngapi (nimeelewa atakapobaeili zitapatikana Lita ngapi?
Ameulizwa huo uzito NI was Nini? Akasema mafuta
Sasa itakuwa hayo mafuta NI solid anataka kubadilisha kuwa liuid then anataka kujua baada ya kubadilisha zitapatikana Lita ngapi
Au mm ndio sijaelewa Bado?
 
Back
Top Bottom