Mwambie mbunge wako "umeibaka demokrasia,umeubaka ustaarabu,umeibaka haki na umeshiriki kwa kiasi kikubwa katika ubadhirifu wa mali za wananchi masikini kwa kugeuza bunge mahali pa mipasho , matusi , kejeli na mijadala ambayo haina tija"
Mwambie Mbunge wako "huna uwezo wa kujadili kushuka kwa...