Wew yaan njia za kupata pesa kirahisi uwe tajiri umeziandika mwenyewe alafu umeshindwa kuzitumia ukapata Hela ya kuprint je msomaji ataweza kweli kupata Hela kwa njia zako🫢🫢
Apo nikuwapa kazi za kufanya katiba biashara hiyo au kuwataftia kazi mahali pengine.
na ukiwapa kazi wape mshahara ata kama ni kidogo mwisho wa siku nao watapata mtaji na sio kuwafukuza
Muombe msamaha mama kama huwezi kuzungumza nae tumia ndugu au rafiki zake wa karibu
Nilishuhudia mama mmoja akimulaani Mtoto wake wa kike kua uzao wake watoto wa kike hawatazaa(waijukuu wake wa kike) na ikawa ivo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.