Recent content by LastChance

  1. L

    JamiiForums Tanzania Haya maneno ya Rais Mstaafu Kikwete yataishi milele

    Tatizo katiba mpya haiwezi kuletwa na Rais aliyeko madarakani peke yake. Jua yeye Rais anakuwa ameshakula vya kutosha na kushiba lakini wapambe waliyoko nyum yake wanakuwa bado hawajashiba hivyo hawawezi kumpa support kwenye hilo la kutaka kupoteza ulaji. Katiba mpya itagusa maslaji ya watu...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe anatumia mbinu gani za kiuongozi?

    😂😂😂😂😂😂😂 So ubunifu wako wa kuvuta buku7 leo umeishia hapa! Mbona fupi sana, utalipwa kweli maana umeandika kivivu sana
  3. L

    JamiiForums Tanzania Chumba kinahitajika

    Habari wakuu. Kinahitajika Chumba na Sebule cha kupanga jijini Dar es Salaam maeneo yoyote lakini upande wa Mbezi mpaka ubungo na njia ya Goba. Budget ni laki moja kwa mwezi. Karibu PM kwa mawasiliano Asanteni
  4. L

    JamiiForums Tanzania Nimesoma Shahada ya IT, nina uzoefu wa zaidi ya miaka 4. Natafuta kazi ama ya IT au yoyote

    Mkuu PHP najua japo siyo sana navyojua Aspx, Javascript nafahamu pia kwa kiasi kikubwa. Asante kwa ushauri wako mkuu
  5. L

    JamiiForums Tanzania Nimesoma Shahada ya IT, nina uzoefu wa zaidi ya miaka 4. Natafuta kazi ama ya IT au yoyote

    Asante mkuu, ubarikiwe sana. Jumatatu naenda kuwacheck
  6. L

    JamiiForums Tanzania Nimesoma Shahada ya IT, nina uzoefu wa zaidi ya miaka 4. Natafuta kazi ama ya IT au yoyote

    Mkuu ni Bachelor of Science in Information Technology kwa kifupi ni Bsc. IT
  7. L

    JamiiForums Tanzania Nimesoma Shahada ya IT, nina uzoefu wa zaidi ya miaka 4. Natafuta kazi ama ya IT au yoyote

    Ni kweli kabisa mkuu, pesa kidogo ukipata unawaza familia na kodi. Kikubwa ni kutokukata tamaa
  8. L

    JamiiForums Tanzania Nimesoma Shahada ya IT, nina uzoefu wa zaidi ya miaka 4. Natafuta kazi ama ya IT au yoyote

    Ntashukuru mkuu, napokea ushauri wowote ule.
  9. L

    JamiiForums Tanzania Nimesoma Shahada ya IT, nina uzoefu wa zaidi ya miaka 4. Natafuta kazi ama ya IT au yoyote

    Mkuu napatikana Dar es Salaam. Namba ya simu ya mkononi ni 0688759894
  10. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wanakufa sana kushinda wazee?

    Nafikiri stress ndiyo chanzo kikuu
  11. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi katika field za IT, Accounting na HRM

    Wakuu bado natafuta kazi
Back
Top Bottom