LastChance
Member
- Mar 16, 2020
- 24
- 11
Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa kiume na ninaishi Dar es Salaam, nina Degree ya kwanza katika IT (Bachelor Of Science in Information Technology).
Natafuta kazi katika field zifuatazo, IT, Accounting na HRM.
Waweza ona ni fields tatu tofauti ila hii inatokana na mimi kuwa na experience ya kutosha kwenye fields hizo zote, mimi kwa kifupi ni programmer niliyejikita zaidi upande wa kutengeneza software za Accounting na Payroll japo pia nina tenegeneza other custom software.
Pia nina uwezo wa kufanya kazi katika nyanja nyingine tofauti kama nitafundishwa (mimi ni fast learner).
Pamoja na hayo yote pia naweza fanya kazi kama consultant na Trainer kwenye hizo fields.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana wa kiume na ninaishi Dar es Salaam, nina Degree ya kwanza katika IT (Bachelor Of Science in Information Technology).
Natafuta kazi katika field zifuatazo, IT, Accounting na HRM.
Waweza ona ni fields tatu tofauti ila hii inatokana na mimi kuwa na experience ya kutosha kwenye fields hizo zote, mimi kwa kifupi ni programmer niliyejikita zaidi upande wa kutengeneza software za Accounting na Payroll japo pia nina tenegeneza other custom software.
Pia nina uwezo wa kufanya kazi katika nyanja nyingine tofauti kama nitafundishwa (mimi ni fast learner).
Pamoja na hayo yote pia naweza fanya kazi kama consultant na Trainer kwenye hizo fields.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app