Recent content by Last Seen

  1. Last Seen

    Canal+ mbioni kuimiliki DSTV

    Canal+ yenye makao makuu nchini ufaransa mwanzoni mwa mwaka huu ilituma maombi ya kununua hisa zilizabaki za Multichoice (DSTV na ShowMax) kwa Dollar billion 1.9 na kuwa mmiliki kamili wa kampuni hiyo kinara barani Afrika yenye wateja takribani millioni 22, ikiwa imetapakaa Karibu maeneo yote ya...
  2. Last Seen

    UTEUZI: Bw. Sylvester Joseph Kainda ateuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi kama ifuatavyo: i) Amemteua Bw. Sylvester Joseph Kainda kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Bw. Kainda alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. ii) Amemteua Bi. Eva Kiaki Nkya...
  3. Last Seen

    Waandishi Wa Habari Mmetia Aibu Kwenye Press Baada Ya Mchezo Wa Young Africans Na Mamelod Sundowns

    Waandishi wengi lugha ni tatizo na hawajui ku structure maswali....Wanapaswa kujifunza, waache kubweteka.
  4. Last Seen

    Kwanini sisi tunaobeti tunakatwa Kodi ila hatutambuliki na TRA kama walipa kodi?

    Habari wana Jamvi, Ninafarijika sana kuona kiwanda chetu cha kubeti kimetambulika kuzalisha ajira zaidi ya 25,000. Sisi kama wabetiji tuna dukuduku, ni kwa nini kwa kila mkeka tunakatwa kodi, Kwa nini hatutambuliki na TRA? === "Sekta ya michezo ya kubahatisha Tanzania imefainikiwa kuzalisha...
  5. Last Seen

    Hawa GO BET wanapata wapi ujasiri wa Kutukana Watu Kisa tu hatujajiunga kwenye Hiyo mitandao yao Ya Kubet

    Wapumbavu wenyewe, Kwanza haya makampuni ya ubashiri wanatoa wapi namba zetu?? Na nani anatoa bila idhini yetu?
  6. Last Seen

    Refund ya Ada chuo cha Mipango Dodoma, Mamlaka husika ziingilie kati

    Habari za Saizi wana jukwaa. Nimeleta mada hapa jukwaani nikiamini mamlaka husika wataona na kulishughulikia haraka. Ni zaidi za miezi kadhaa imepita dogo alinigusia habari kuwa alikuwa amelipa ada na amemaliza ada yote lakini baadae alikuja kujua kuwa bodi pia walimlipia kiasi cha ada, na...
  7. Last Seen

    Dodoma aliyoiacha Hayati Magufuli siyo kama ya sasa, inazidi kuchoka

    Habari wana Jamvi, Baada ya muda kidogo kupita wiki iliyopita nilifanikiwa kurudi Dodoma kwa muda kushughulikia mambo fulani falani, lakini cha kushangaza zaidi nimeikuta Dodoma inazidi kurudi nyuma kama ilivokuwa miaka mingi nyuma. Kama ulifika zamani kidogo kitu cha kwanza uta-notice zile...
  8. Last Seen

    Mchina kazubaa wapi kwanini hatengenezi magari ya umeme?

    Mchina anatengeneza tayari, ila bei yake sio rafiki bado kwa wengi! Ila kuna watanzania wenyetu wanazo, mfano hiyo hapo juu Li L9.
  9. Last Seen

    Tigo Bussiness waboresha bando zao, ujazo mkubwa, gharama nafuu

    Kila mwezi zinaingia, Kila Tarehe moja ya mwezi mpya.
  10. Last Seen

    Huu ni udhalilishaji mkubwa kwa Dini za Kikristo. Clip Kutoka madhabahu ya GeorDavie

    Video ya wadada wakiwa wanapita mbele yaa nabii mkuu na mawazi yasio ya heshima na yasiyostahili kwenye madhabahu ya Mungu. Kuna haja ya kufungia baadhi ya huduma na kuweka vigezo vikali kwa wanaoongoza huduma hizo. Shetani yupo duniani.
  11. Last Seen

    Fountain Gate yainunua Singida Big Stars. Klabu hiyo sasa kuitwa Singida Fountain Gate Footbal Club

    Uongozi wa Singida Big Stars umefanya maamuzi ya kuiuza timu hiyo kwa wamiliki wa Fountain Gate ambapo sasa timu hiyo imebadilishwa jina na kuwa “Singida Fountain Gate Footbal Club.” Aliyekuwa Mkurugenzi wa Singida Big Stars ambaye kwa sasa ni Mjumbe wa Bodi ya Singida Fountain Gate, John...
  12. Last Seen

    Happy birthday Senior Member Jf Mshana Jr

    Happy birthday Mlozi Mshana Jr
  13. Last Seen

    Calculator nyingi ni za uongo hebu angalia hii hesabu

    Umejumlisha kabla ya kuzidisha ( fuatilia vizuri sheria ya BODMAS.
Back
Top Bottom