Pavel Durov, Muamzilishi wa program ya Telegram, ameeleza kuwa atawawachia watoto zaidi ya 100 mali zake zenye thamani ya takriban shilingi trilioni 45. Alisema hayo katika mahojiano na gazeti la Ufaransa, Le Point. Durov, mwenye umri wa miaka 40 ambaye kwa sasa anaishi Dubai, alisema watoto...
Klabu ya Real Madrid imemtanganza Xabi Alonso kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo aliechukua mikoba ya Carlo Anceloti aliyehudumu klabuni hapo kwa muda mrefu.
Xabi Alonso amesaini Mkataba wa miaka mitatu na ataanza kazi rasmi msimu ujao.
Umekuja kwa Hasira na Makasiriko mengi, Kawaulize TRC kwa nini wametoa Taarifa hii kipindi hiki, Ilikuwa inaitwa stesheni Kuu ya Dodoma, lakini kwa sasa imeongezwa jina la Mhe. Rais. Taarifa imeletwa kama ilivotolewa sasa Kijana unalalama nini?
Stesheni kuu ya Treni ya Mwendokasi jijini Dodoma, imefanyiwa mabadiliko ya jina na sasa itafahamika kama, Stesheni kuu Samia Suluhu, Dodoma.
Kupitia ujumbe uliochapishwa na Ukurasa rasmi wa Instagram wa TRC unaonesha mabadiliko hayo yaliofanyika.
Kampuni ya Tigo yabadili jina kuwa Yas Tanzania mabadiliko hayo yametangazwa Leo Kupitia mkutano wa Leo ulikuwepo live Instagram ya Tigo Tanzania na Kuhudhuriwa na Waziri wa habari Jerry Silaa.
Kuhamisha mkopo kutoka chuo kimoja kwenda kingine inawezekana, but inachukua muda, kama una uwezo wa kuvumilia miezi miwili au mitatu ya kusuburi mkopo uhamishiwe IRDP Anza registration kama huezi nenda CBE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.