Mkuu commercial zina rates zake tofauti.
Third party hawaangalii cc za gari tena kama zamani. Kwa sasa third party kwa private cars ni Tsh. 100,000 plus 18% VAT ko jumla inakuwa Tsh 118,000.
Karibu sana. Ila kwa ushauri zaidi kama unahitaji bima ni vizuri zaidi ukaenda kwenye ofisi ya agent, broker ama kwenye kampuni ya bima moja kwa moja. Achana na bima za uchochoroni kwa mtu ambaye hana hata ofisi, wengi wameuziwa bima feki, na ufeki wake unajulikana pale unapokuwa umepatwa na tatizo.
Gharama za bima zinaendana na matumizi ya gari lako. Je ni kwa ajili ya matumizi binafsi ama biashara? Na kama biashara, je ni la kubeba mizigo au abiria?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.