Kwa macho ya kawaida utaona mke na mme wana furaha nje wanavyotembea na utasema hii ndio ndoa ya kuigwa ila usilolijua sawa na usiku wa giza.
Wanandoa wengi wameachana ila wanaishi nyumba moja humo ndani wamegawana vyumba ila wanaogopa kutalikiana kwa sababu ya mali watagawanaje.
Wanawake...
Habari wanajf hiki ndicho kilichonikuta kwenye mkesha wa x mas
Uwiii Wanajeshi Hawa sio watu tupo mm na shoga angu tumetoka club uck akanambia nimsindikize kwake tukifika atamwambia mume wake anipeleke home. Mme wake wanausafiri wao basi tumerudi zetu tunaimba wimbo wa marioo Bia tamu hapo...
Wacha niwape story yangu kwanza. Nakumbuka huko Facebook nilipata mbaba mmoja hivi tukawa tunachati wee mwisho wa siku tukapanga tuonane.
Basi tukatoka out tukaagiza kuku mzima ndizi tano na ugali juu. Mimi nikala ndizi moja na kama vipande viwili vya nyama basi yule baba akafukia ugali wote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.