Last Night
Member
- Jun 19, 2021
- 20
- 65
Wacha niwape story yangu kwanza. Nakumbuka huko Facebook nilipata mbaba mmoja hivi tukawa tunachati wee mwisho wa siku tukapanga tuonane.
Basi tukatoka out tukaagiza kuku mzima ndizi tano na ugali juu. Mimi nikala ndizi moja na kama vipande viwili vya nyama basi yule baba akafukia ugali wote na yule kuku alafu akaagiza tena kuku mwingine wa kuchoma tukafungiwa na zile ndizi.
Akaagiza na matunda ndizi, machungwa na nanasi kwenye mfuko tukaenda zetu lodge.
Usiku wa manane nimelala nasikia mtu anakula chwakashwakachwaka kama mchwaa aisee nilishangaa kumbe ni huyo mbaba amekula vyote kama ana funzaa tumboni uwiii yani nilishangaaa .
Kesho nilivyoondoka nikamlima bonge la block.
Basi tukatoka out tukaagiza kuku mzima ndizi tano na ugali juu. Mimi nikala ndizi moja na kama vipande viwili vya nyama basi yule baba akafukia ugali wote na yule kuku alafu akaagiza tena kuku mwingine wa kuchoma tukafungiwa na zile ndizi.
Akaagiza na matunda ndizi, machungwa na nanasi kwenye mfuko tukaenda zetu lodge.
Usiku wa manane nimelala nasikia mtu anakula chwakashwakachwaka kama mchwaa aisee nilishangaa kumbe ni huyo mbaba amekula vyote kama ana funzaa tumboni uwiii yani nilishangaaa .
Kesho nilivyoondoka nikamlima bonge la block.