Recent content by LAST KING EVER

  1. L

    Tunaomba serikali iangalie upya suala la mikopo vyuoni

    Kilichofanyika mwaka jana ni kuangalia lasilimali watu wanapozwa ili madaraka yasiote mbawa mwaka huu hata watanzania wakiumia hawana pakujitetea ndio maana mabweni yamekua muhimu zaidi. ni kweli ingekua uchaguzi mwaka huu kungejengwa mabweni au wangeangaliwa raia wanataka nini?
  2. L

    Tunaomba serikali iangalie upya suala la mikopo vyuoni

    100% nimeandika kwa kujionea mwenyenye jinsi mwaka jana serikali ilivyotoa mkopo kwa watanzania 48000 halafu mwaka huu 25000 unadhani kama sio uchaguzi wa mwaka jana ni ni sababu nyingine mdau
  3. L

    Yanayotokea awamu hii ya tano, kuna watu hatutawasamehe

    bado sikuchachu tu mtaacha kuisoma namba kwani mwakani ni zoezi la kuiandika ndo litaanza.
  4. L

    Tujadili tamko la Waziri wa Elimu kuhusu masuala ya udahili

    kila kiongoz akiingia madarakani anabomoa na kuanza upya lini tutaendelea bila ya kuwa na mawazo endelevu.
  5. L

    Zaidi ya asilimia 91 wakosa mikopo KIU

    mwaka huu tunaisoma namba mwakani tutaiandika kabisa keep claim until 2020
  6. L

    Ndege mpya za serikali ziko njiani kuja

    Usafirishaji wa twiga unatakakuanza upya
  7. L

    Tunaomba serikali iangalie upya suala la mikopo vyuoni

    Kuna umuhimu wa kumaliza secondari wakati wa uchaguzi
  8. L

    Elimu Yetu ina Mabondemabonde

    KEEP CLAIM UNTIL 2020:mad:
  9. L

    Kwanini serikali imetoa mikopo kwa wanachuo 25000 tu mwaka huu?

    Mwaka huu serikali imetoa mkopo kwa wanachuo 25000 wakati mwaka jana waliwapa mkopo wanachuo 48000. je ni kwa sababu gani? A;Zilikuwa mbwembwe za uchaguzi ili wapate kula. B;Baada ya mwaka mmoja tu serikali imefilisika. C;Watanzania wanatakiwa wafanye kazi tu. D;Wanachuo wamekuwa wagumu kulipa...
Back
Top Bottom