LAST KING EVER
Member
- Nov 27, 2016
- 10
- 2
bado sikuchachu tu mtaacha kuisoma namba kwani mwakani ni zoezi la kuiandika ndo litaanza.Tumeipenda wenyewe acha Waisome namba ahaa ahaa watu walijua wimbo unamuhusu Lowasa na Mbowe ambao walijijenga kiuchumi kitambo,Namba zinasomeka kwa wategemea biashara za ndani na wafanyakazi tehe tehe