Recent content by LASPERYE

  1. L

    Times of Israel: Edward Lowassa is a reformer, partriot and a successful businessman

    Huyo mwandishi atakuwa mbongo tu anayeishi huko majuu.
  2. L

    Ndugu zangu walutheri

    Kasomeni Luka 11: 17
  3. L

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Kwani mtu akiwa mgombea inamzuia vipi kuwashirikisha waumini wenzake kumuombea ili aweze kushinda? Ina maana hata angewaomba watu wa nyumbani kwake mngesema analeta ukabila? Kama angekuwa anapiga kampeni na kuomba kura kanisani ingekuwa mbaya lakini ameomba kuombewa kitu ambacho ni kizuri...
  4. L

    Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

    Hayo ya kiroho ni ya kweli kabisa na yanawatesa watu wengi sana. Soi mapadri tu hata wana ndoa ambao waliapa mbele za Mungu kuwa watakuwa pamoja hadi kifo lakini wengine wanaamua kuchepuka na matokeo yake madhara yanakuwa mengi sana ktk familia. Tunapaswa kumheshimu Mungu.
  5. L

    Dr. Slaa hatanyamaza, hataishia hapo!

    Slaa ni mbogo aliyejeruhiwa. Ana hasira za kuukosa umaarufu. Lakini ukweli ambao ameshindwa kuutambua yeye kama Padri ni kuwa Mungu sio mwanadamu. Akimchagua mtu yeye anaangalia moyo na anamtengeneza kuwa mtu mzuri ijapokuwa sisi wanadamu tunaweza kuwa na kumbukumbu ya maovu yaliyofanywa huko...
  6. L

    Kama Lowassa alitabiriwa na TB Joshua kuwa Rais TZ, Iweje sasa atumie Pesa kukampenia Urais?

    Acheni tabia za kumtegemea mwanadamu badala ya Mungu. Kwani hadi muende Naijeria? Kwani hapa Tanzania hakuna manabii?
  7. L

    Dr. Slaa, Josephine, Mwanakijiji et al: Hii Meli ya CHADEMA/UKAWA Tayari Inaondoka, Uamuzi ni Wenu

    Mungu ndiye anayejua kila kitu. Acheni maneno mengi zaidi sana tumuombe MUNGU kwa bidii ili nchi ipate mabadiliko mema yasiyoleta madhara kwa baadhi ya watu.
  8. L

    Ukweli kuhusu Dr. Slaa

    Ni kweli mzee Slaa aachwe apumzike ili atafakari upya maisha yake ya kisiasa. Akishatafakari nadhani atakuja na majibu sawia. Tuache kumuwekea maneno mdomoni tumsubiri aje mwenyewe kuzungumza.
  9. L

    Utafiti wa namna Lowassa atakavyoinufaisha UKAWA

    Ni kweli umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.
  10. L

    Tulianzisha kanisa feki pamoja, anafosi nimuoe, vinginevyo anamwaga mboga

    We tapeli halafu unataka ushauri kwa watu wa Mungu? Kwanza wewe mzinzi na hujaokoka bali unawahadaa watu. Ushuri ni wewe utubu mbele za Mungu na mbele za waumini na kuwaambia ukweli kuwa wewe ulikuwa tapeli ila sasa umeacha na wakuombee. Unaweza pia kumtafuta askofu au mtumishi wa kweli wa Mungu...
  11. L

    CHADEMA: Mtatafuta namna ya kumfukuza Lowassa

    Mimi nakubaliana nawe. Lakini pia wana uwezo wa kuyakabili hayo mapema kwa kuweka kanuni na taratibu zinazofaa.
  12. L

    Lowassa kuchukua fomu kugombea Urais kupitia CHADEMA - Alhamisi 30, 2015

    Makene vipi Dr. Slaa naye atachukuwa fomu? Ni vizuri wengi wakachukuwa ili wapambanishe hiyo ndiyo demokrasia.
  13. L

    Kwanini Lissu, Mnyika, Slaa na wengine hawakuwepo kwenye mapokezi ya Lowassa?

    mbona sasa hawajaja kuzungumza? tuwasubirie wapi?
  14. L

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Sio rahisi hivyo. Labda kama Mungu kweli kakuonesha kwamba ndivyo atafanya. Mtu mmoja tu hawezi kukisambaratisha chama wakati kuna watu maarufu wengi tu ndani ya CCM. Labda wangekuwa wamegawanyika makundi mawili ningekubaliana nawe.
  15. L

    Future ya CCM baada ya Lowassa kung'oka

    Acheni kujifariji. CCM ni Taasisi kubwa. Labda hao wakubwa wagawanyike kutokana na tukio la EL kuhama. Sanasana kuna watu watakuwa njia panda wakati wa uchaguzi, hususan wale wapenzi wake ambao pia wanaipenda CCM na wasingependa kuhama.
Back
Top Bottom