Usijali anza mapema utafika mbali,mi ningeanza wakati nna umri wako ningekuwa mbali sana ila hiyo elimu sikuwa nayo, kwa umri wangu najiona nimechelewa.So nakutia moyo usiache ukija kufika uzeeni utafurahia
Hongera mkuu,mi nimepambana nimefika 98M now.mfuko ni liquid fund.Kwa mwezi napata faida ya kama 900k au zaidi.
Niko tempted kuitoa na kujeng nyumba za kupangisha ila nahofia kuanza upya savings as it wasn't easy.Nimeanza more than 4 years ago nimepambana kusave kwa machozi jasho na...
Mara nyingine haya mambo yanatokana na visasi,mfano kuna rafiki yangu alikuwa anampenda sana mumewe na alikuwa very loyal kwake.Kila kitu alikuwa open na pia alichangia sana mafanikio yao kiuchumi.
Recently kaja kugundua mumewe ana mwanamke kazaa naye watoto 2 na anawahudumia.
Kama ni wewe...
Daah na mimi hapo sikuelews kabisaa hata alivyoenda kuzika tena kwa confidence km ni mke rasmi.Labda km mzee Pama na mkewe wali divorce.
Maana ni ngumu kuelewa hata gela alizogaiwa na vikundi tena mamilioni wakati she was just mchepuko.Unless kuna kitu hakijaweka wazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.