Ushauri kwa wanaume waliozaa nje ya ndoa

Ushauri kwa wanaume waliozaa nje ya ndoa

Mtoa ushauri hakuna unacho kijua kuhusu ndoa, malezi. Kwanza hakuna kitu kinacho itwa mama wa kambo na hakuna kitu kinacho itwa watoto wa nje.
Kwaleo ngoja niishie hapa.
 
Acheni kuwatupia lawama wanawake kwa makosa yenu wenyewe. Wanawake hatujawahi kuwa na shida na watoto tuliowakuta kwa wanaume wetu kabla ya kuwa pamoja, tunawapenda na tunawapa haki zote za mama kwa mtoto.

Shida ni hao watoto wanaokuja baada ya kuwa pamoja.
Mimi kwakweli wakwangu nilishamwambia mapema, mtoto/watoto baada ya sisi kuwa pamoja hawatokubalika kamwe. Atapambana nao mwenyewe, ni wa kwake na mwenzie/wenzie huko.

Kuchepuka mchepuke wenyewe kulea tulee wote? Hell No!
Uko sahihi

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Acheni kuwatupia lawama wanawake kwa makosa yenu wenyewe. Wanawake hatujawahi kuwa na shida na watoto tuliowakuta kwa wanaume wetu kabla ya kuwa pamoja, tunawapenda na tunawapa haki zote za mama kwa mtoto.

Shida ni hao watoto wanaokuja baada ya kuwa pamoja.
Mimi kwakweli wakwangu nilishamwambia mapema, mtoto/watoto baada ya sisi kuwa pamoja hawatokubalika kamwe. Atapambana nao mwenyewe, ni wa kwake na mwenzie/wenzie huko.

Kuchepuka mchepuke wenyewe kulea tulee wote? Hell No!
Kikubwa ni kuomba yasitokee ... sababu yakitokea , huenda ukaongea vingine
 
Usaliti unauma sana, haswa huu wa kuletewa mtoto.
Hakuna usaliti unaouma sana kama usaliti wa kulea mtoto/watoto ambao biological siyo wako lakini siku zote wwe unajua kua ni wako ndani ya ndoa yako, ni bora mali zako achukuwe mtoto wa.mchepuko ambae kakuzalia DNA yako OG, kuliko huu ujinga eti kitanda hakizai haramu! Kuna familia zingine unakuta watoto wa ndoa baadhi hawafanani na baba yao kabisa,alafu unakuta watoto wa nyumba ndogo ni copyright na Mdingi!!
 
Acheni kuwatupia lawama wanawake kwa makosa yenu wenyewe. Wanawake hatujawahi kuwa na shida na watoto tuliowakuta kwa wanaume wetu kabla ya kuwa pamoja, tunawapenda na tunawapa haki zote za mama kwa mtoto.

Shida ni hao watoto wanaokuja baada ya kuwa pamoja.
Mimi kwakweli wakwangu nilishamwambia mapema, mtoto/watoto baada ya sisi kuwa pamoja hawatokubalika kamwe. Atapambana nao mwenyewe, ni wa kwake na mwenzie/wenzie huko.

Kuchepuka mchepuke wenyewe kulea tulee wote? Hell No!

Hahahaha ndo roho mbaya anazosemea mleta mada. Uzuri ameshauri namna ya ku deal na watu kama nyie
 
""Narudia tena Asilimia kubwa ya mama wa kambo wana Roho mbaya. Wazuri wapo ila ni wachache sana.""

Nilikaa na mama wa kambo aisee
Yule mnyaki alikua anapiga nyie 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Nikikumbuka.. dah
 
Ni upuuzi, halafu wanakuja kusema samahani mtoto hana makosa.

Shenzii

Halafu unatengenezewa mazingira ujione una roho mbaya kwa kumkataa huyu mtoto..
Hivi mwanaume akiletewa yeye mtoto atajisikiaje?
 
Shida ni hao watoto wanaokuja baada ya kuwa pamoja.
Mimi kwakweli wakwangu nilishamwambia mapema, mtoto/watoto baada ya sisi kuwa pamoja hawatokubalika kamwe.!
Kama ameweza kumkuta na watoto maana alichepuka kwako hatimaye ukachukua usukani. Je asingelichepukia kwako, wewe ungalimpataje?
 
Back
Top Bottom