Ni drug addict, loner, antisocial and kinda a genius; as he can read people, he's intelligent, he's very good at computers.
Anaiona dunia in a way most people dont.
Sio sociopath.
Whatsapp waliwataka watengeneza unofficial apps zake waache mara moja. Na ziondolewe mitandaoni hasa hasa for security reason. Ikiwemo hiyo Og na plus.
Walobahatika kuwa nazo ndo hao hao wanamalizia kujikongoja nazo mpaka zitakapo expire.
Na wewe uliyeuliza hilo swali ukaamini kabisa hilo jibu utapewa humu.
Kaa tulia ongea na Mungu wako au fuata unachokiamini wewe basi.
Kila mtu atakujibu anavyoona yeye maana kila mtu anaamini atakacho yeye!!
Mi nikajua pameitwa simu2000 kama maana nyingine ya neno MAWASILIANO. Yaani huwezi kufanya mawasiliano kwa simu moja tu (utajipigia mwenyewe?!!), so ili mawasiliano yafanyike kuna uhitaji wa simu nyingi kwa kupasiana ujumbe tofauti tofauti ndo wakaamua kupaita SIMU2000!! Dahh kumbe nilikua mbali...
Za sahizi humu ndani?
Naenda moja kwa moja kwenye point. Mimi niko tigo, nampigia mtu wa tigo halafu nakutana na hii kitu "Thank you for choosing Vodacom blah blah blah." Ni mara kadhaa sasa.
Sasa hapo Voda wamehusikaje? Ni kwamba Voda wamenimiss au mitandao siku hizi wamekuwa marafiki...
Wewe acha hizo wewe!! We unajuaje..je kama maisha ya sahivi ya baba ake ndo laana ya kumtelekeza dogo?!
Acha watu wavune walichokipanda.
Fanya yako tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.