Recent content by Larry king

  1. L

    JamiiForums Tanzania CCM Yatingisha Kibanda Maiti Zanzibar

    Mr. Chin km jina lako, Maisha utakuwepo chini, mm nipo hapa2 Zanzibar hakuna hbr ya Mkutano leo, Wacha Uongo huo!
  2. L

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    Dawa yake mara hii asijibiwe na mtu, maana anataka kuwatoa watu kwenye target ya kudai mabadiliko.
  3. L

    JamiiForums Tanzania TCRA mpo? Naomba ufafanuzi kuhusu kipande kilichorushwa na Star Tv mara tu baada ya habari

    Hawa jamaa wanataka kuiokoa ccm kwa njia yeyote. Hata katika kipindi cha 'TUONGEE MAGAZATI' wanatoa hbr za Magufuli hata km hbr hiyo imeandika kwenye na mageti yote, lkn hbr za Ukawa/Lowassa wanatoa hbr moja tu hata km imeandikwa na magazeti yote. Ikiwa hbr za Ukawa zimeandikwa na Magazeti yote...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Mwendelezo wa Kampeni za Mgombea Mwenza wa CCM, Samia Suluhu baada ya kuiteka Singida

    Duh! Yaani hawa ndio wamefurika? Kweli uko mbali na dunia hii. Naona ugamba umekuingia mpaka kwenye macho yako.
  5. L

    JamiiForums Tanzania Genge la Lowassa ni janga la Taifa, wenye macho ya ziada walisaide Taifa hili

    Jifunze Kuongea kwanza ndio upost utumbo wako huu. DOLA sio DORA. Halafu znz waliona na sifa ya kuhonga ni hao Magamba wenzako, upinzani hawana sifa ya kuhonga. Naona Dozi ya Man City imekupata na wewe.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Pinda: Wananchi wapige kura ya maoni kuamua hatima ya muungano

    Hata tupige hiyo kura ya Maoni, usalama wa kura zetu kutoibwa uko wapi kwa tume hii ya CCM? Wazanzibar 64% watasema wanataka Mkataba au Hawataki Muungano.
  7. L

    JamiiForums Tanzania Kura kupigwa hata Hijja

    Kweli akili huna Mzee Sitta basi hata macho ya kuonea huna!!!? Hujui ya kwamba mtu akiwepo kwenye Ibada haruhusiwi kujishughulisha na chochote nje ya Ibada, hasa mambo haya ya kilimwengu? Huo Muda wa kupiga kura utaupata saa ngapi ilhali ibada ya Hijja ikianza haikusubiri ww ukapige kura. Kama...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu ya Tanzania: Kesi ya kikatiba kutaka kusitishwa kwa Bunge Maalum la Katiba

    Breaking News Leo tena Historia ya aina yake imeandikwa ambapo Mahakama kuu kanda ya Dar es salaama imetoa amri ya kusitishwa kwa Bunge Maalum la Katiba dhidi ya serikali kupinga Bunge Maalum la Katiba kuendelea. Serikali kupiitia ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) - iliwawasilisha...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Kodi kwa bidhaa zinazotoka Zanzibar iangaliwe tena

    Ndugu yangu hapo umeliwa, sio wewe peke yako unaefanyiwa wizi huo, wapo watu wengi wanapofika Bandarini Dar es salaam wanatozwa ushuru mkubwa wengine wanafika kusamehe mizigo yao, mm nakupa mfano hai, Rafiki yangu alinunua Fridge 2 za Used huko Zanzibar, zilifika Dar es Salaam, maafisa wa TRA...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif na Mawaziri wanaotoka CUF Zanzibar wajiuzulu

    Mleta mada alikuwepo klabuni ndio akaandika habari hizi.
  11. L

    JamiiForums Tanzania Kikwete akiri katiba mpya haitapatikana!

    Mpaka sasa anatumia akili ya kuambia bado hajachanganya na za kwake.
  12. L

    JamiiForums Tanzania Wabunge 120 wa CCM kujiunga UKAWA wakati wowote kuanzia sasa

    Hiyo habari sijui km ina ukweli wowote, kama ni kweli itakuwa ni katika Miujiza ya Dunia.
  13. L

    JamiiForums Tanzania Kamati ya uongozi bunge la katiba lakutana kujadili kamati kuu ya CCM na sura za nyongeza

    Mahakama ya Kadhi haina shida ikiwepo, kwasababu watakao kwenda kuhukumiwa huko ni Waislam na Sio Wagalatia, Bado nchi hii inatumia hukumu za Kitwaghuti, Mahakama ya Kadhi itakuwa zaidi inatatua mizozo iliyopo katika familia za Kiislam kama vile Ndoa, Mirathi, Vizazi, Vifo na hata Mizozo...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Suluhu: 2/3 za Zanzibar zimepatikana

    Tuwaulize ni hesabu gani wanayotumia? Ili ipatikane hiyo 2/3 ni lazima kina Jussa na wenzake waingie ktk BMK bila ya hata mmoja kuondoka, wameipata kutokea kwa akina nani? Mwaka huu Mtaimbo umewaganda.
  15. L

    JamiiForums Tanzania Kumekucha CCM, hii ni aibu ya mwaka

    Wazanzibari hao wanamsikiliza Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif. Hakuna kulala Mpaka kieleweke, Mamlaka Kamili ya Zanzibar Huru
Back
Top Bottom