mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,548
Akiahirisha bunge kipindi hiki cha Asubuhi hii Mh Sita amewataka wajumbe wote watakaokwenda hijja kuwasilisha vielelezo vyote muhimu kwani hata wakiwa huko watapigia kura katiba itakayopendekezwa kwenye balozi zetu.
Nionavyo.....Sitta analazimisha mambo...mtu yupo kwenye ibada uanze kumsumbua na Kura...kweli majanga
Nionavyo.....Sitta analazimisha mambo...mtu yupo kwenye ibada uanze kumsumbua na Kura...kweli majanga