Akihutubia viongozi wa mkoa wa Morogoro leo, JK amesema katiba mpya haitapatikana endapo viongozi wa kisiasa wataendelea kuvutana!
Aidha amesema yuko tayari kukutana na viongozi wote wa kisiasa ili kutafuta muafaka!
Source: Radio One Stereo.
Hivi Mh Rais wetu Kikwete anakua anapoteza kumbukumbu haraka au ni mimi ndio sio simuelewi vema Mh Rais??
Sí majuzi kati tu yeye mwenyewe amesema anaridhishwa na jinsi mchakato unavyoendelea na akatoa baraka kwa Bunge la katiba kuendelea na mchakato ??
Hivi Mh Rais wetu Kikwete anakua anapoteza kumbukumbu haraka au ni mimi ndio sio simuelewi vema Mh Rais??
Sí majuzi kati tu yeye mwenyewe amesema anaridhishwa na jinsi mchakato unavyoendelea na akatoa baraka kwa Bunge la katiba kuendelea na mchakato ??
Jamani labda mi nazeeka kushindwa kuelewa mambo vema, Hivi si huyu huyu alisema tujiandae kisaikolojia kuwa serikali tatu badae akaja akasema serikali tatu zitasababisha jeshi kuchukua nchi???
Mh Rais labda anazungumzia vitu tofauti tofauti ambavyo mimi navichanganya??? Jamani nisaidie ndugu yenu nimwelewe rais wangu JK (Sio JK Nyerere yeye namwelewa vema tu)
Hatuna rais nchi hii bali robot! Amekutana na CC yake wiki iliyopita akajiridhisha bunge la katiba linaendelea vema!!
Sasa sijui nani mwingine kamshauri anabadilika ghafla! Kwa hiyo amewaponda wajumbe wenzake wa CC!!
Akihutubia viongozi wa mkoa wa Morogoro leo, JK amesema katiba mpya haitapatikana endapo viongozi wa kisiasa wataendelea kuvutana!
Aidha amesema yuko tayari kukutana na viongozi wote wa kisiasa ili kutafuta muafaka!
Source: Radio One Stereo.
Huyu Maradona wa Si-Hasa za Tanzania sasa anatia wasi wasi; Rais wangu JK; tafadhali sana wananchi wako tunahitaji kuwa na uhakika kuhusu misimamo yako katika mambo mbali mbali; sio asubuhi unasema hili; jioni unasema lile na mtondogoo unasema jingine kuhusu jambo lile lile!! tafadhali sana Rais wangu.
Juzi tu wewe na kamati kuu ya chama chako mmetamka kwamba mnaridhika na maendeleo ya mchakato wa katiba na kwamba mna uhakika katiba mpya itapatikana?! wiki moja baadae unatwambia nini? nini kimekusibu?!
Hatuna rais nchi hii bali robot! Amekutana na CC yake wiki iliyopita akajiridhisha bunge la katiba linaendelea vema!!
Sasa sijui nani mwingine kamshauri anabadilika ghafla! Kwa hiyo amewaponda wajumbe wenzake wa CC!!
Hivi Mh Rais wetu Kikwete anakua anapoteza kumbukumbu haraka au ni mimi ndio sio simuelewi vema Mh Rais??
Sí majuzi kati tu yeye mwenyewe amesema anaridhishwa na jinsi mchakato unavyoendelea na akatoa baraka kwa Bunge la katiba kuendelea na mchakato ??
Jamani labda mi nazeeka kushindwa kuelewa mambo vema, Hivi si huyu huyu alisema tujiandae kisaikolojia kuwa serikali tatu badae akaja akasema serikali tatu zitasababisha jeshi kuchukua nchi???
Mh Rais labda anazungumzia vitu tofauti tofauti ambavyo mimi navichanganya??? Jamani nisaidie ndugu yenu nimwelewe rais wangu JK (Sio JK Nyerere yeye namwelewa vema tu)
Rais wenu anaweweseka. Hakuna rangi hataiona kwa kubariki mchakato haramu na kusanyiko la maharamia linaloendelea pale Dodoma.
nina mashaka anatumia thermo battery! au Operation system imekufa! sasa jamaa ndo wamaliza ku run set up! wanafanya back up ya mafailiIna maana yeye kama yeye hana mawazo mpaka aambiwe. Duuh kazi tunayo basi.
Hivi hizi jumuiya na vyuo vinavyompa tuzo kebe kebe kila kukicha vinatumia vigezo gani?!
The dude has no sense of RIGHT TIMING; kwake kila kitu ni kushtukiza tu!! It is a sign of lack of vision.
mkuu, mtu anaweza kukusifu au kukupa kitu si kwamba anataka kukunufaisha bali anufaike yeye. nilkutana na mkongomani mmoja akaanza kunimwagia sifa kemkem hizi na zile mwisho akaniomba nimpe shs 10,000/-. Kwa hivo ni aghalabu rais kusifiwa sana na walio chini yaka au hata na watu wa nje hasa wazungu kumbe sifa hizo zina bei ndugu.Hivi hizi jumuiya na vyuo vinavyompa tuzo kebe kebe kila kukicha vinatumia vigezo gani?!