Duuh yaani kadri mungu anavyojalia kuendelea kupumua ndio nawajua uwezo wa watz kujadili mambo, laiti kama mungu angetuchukua mwaka jana tu nisingeamini kuna binadam angeweza kusupport kila upuuzi hadi wa kiwango cha naibu spika
Halafu huyu jamaa anawadanganya watu wasio jielewa tu kiufupi ni kwamba ili barua ziwe zinawafikia watu nyumbani badala ya kutumia sanduku LA barua inabidi serikali ianzishe mfumo wa area codes ambao unaitaji nyumba zote kusajiliwa kuyagawa maeneo ktk mfumo huo,ni suala linalohusu wizara...
Sasa hawa vijana wamiliki wa vyeti akina polepole mbona wanatuambia serikali yao haiitaji misaada? Kumbe wakubwa wamefikia hatua ya kufikiria kutunga sheria ya kung'ang'ania wahisani!!
Huyo mjengwa naye anasumbuliwa ugonjwa wa kukupenda ccm kupita kiasi uwa anajifanya anafanya kuandika makala za kiadilifu sana lakini mara zote inapofika suala la kukusolewa watawala nae urejea kwenye uzuzu was kiwango cha kutisha
Kwa taarifa yako hao usalama wa taifa ndio 98%ya hao so-called wafanyakazi hewa ambao wanalipwa kupitia BOT hata magu anajua vizuri kuh suala hilo ndio maana ameongea kwenye tone tofauti na hiyo blabla ya kutumbua majipu.ebu jiulize inakuwaje kwenye employees 1,3na ushee kuwe na watu hewa...
Ubunifu sawa unatakiwa lakini pia ni muhimu kujua mgawanyo wa madaraka, kanuni na chombo kipi kinahusika na lipi kwa mfano alichozungumza makonda Jana kuh kuhamishia bar zote kinondoni ziwe katika mtaa maalum kipo nje kabisa na majukumu ya mkuu wa wilaya sababu yy hausiki kabisa na shughuli za...
Mkuu haisumbui we endelea tu kuiamini hiyo ccm yako usijali waliopewa pesa ya escrow wanaachiwa, akina masamaki wanapewa dhamana, rais wako aliomba ushirikiano wa kutaja wezi lakini juzi ametajwa ombeni sefue kilichotokea badala yake gazeti LA Dora ndilo liombe samahani..! ukizoea kuishi na...
Mbona yule mama aliyemtoa tuhuma za mdomoni kuh daktari aliyemuomba rushwa kwa mdomo tu alisikilizwa na majaliwa na dk Akasimamishwa ila ya semfue ndio wanaikumbuka takukuru!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.