Shetani hana mamlaka kwa Mtu wa Mungu analiye mwamini Yesu. 1 Yohana 4:4 shida ipo kwenye kuamini Neno la Mungu jenga Imani yako kwenye Neno la Mungu even in harsh conditions of life you will remain Standing Mathayo 7:24-27.
Marko 9:23 yote yanawezekana kwake aaminie , kuamini ni jambo la...
Acha war propaganda unadanganya watu , APC sio land cruiser au vitz iunguzwe kirahisi hivyo na watu wasitoke, kawadanganye wasiojua
Labda wamefanikiwa kuzidamage
Central Africa na Congo ni moja ya Nchi zilizobarikiwa zaidi ni Kubwa na Wana Kila kitu
Madini yote , ardhi nzuri , misitu ya Asili kuliko nchi yoyote Duniani
Mzungu aliwaachia laana hizi Nchi.
Golden Era ila Evander alikuwa Mtu na nusu, a real fighter hakuwahi kukwepa wala kuogopa mtu alipigana na Tyson mara 2 , George foreman, Riddick Bowe mara 3 , Lennox Lewis mara 2 , buster Douglas, Larry Holmes wote ni formers world heavyweight champions.
"Mzawa wetu fanya usawa ukae kwetu , hatufika kama ubaya
ndio uwepo wetu, hakuna dili na chini ni mwendo peku
Yesu bado hajarudi na hatujui kesho yetu" - One the Incredible
Achana nae huyu hajui chochote kuhusu boxing chuki chuki zake ndio zimemleta hapa . Huyu mtu yuko happy Mtanzania mwezake
Kupigwa na anaogeza uongo ambao haufaham.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.