Ni monopoly party.
Kwanza sasa hivi hakuna viongozi wanaotokana na ccm. Kuna wahuni tu. CCM kina misingi yake ambayo kwa sasa imekiukwa na kuvunjwa vunjwa kabisa.
Uzuri wa siasa hazina rafiki wala adui wa kudumu. Leo kwetu, kesho kwenu. Ni suala la muda tu.
Kulia, kupokezana. Furahia shibe kabla njaa haijakukuta.
Hata hivyo, si lazima watu wote tufanane mtazamo. Kutofautiana kwetu ndio kunatufanya tuwe jinsi tulivyo (our differences makes us who we are)
Uzuri wa siasa hazina rafiki wala adui wa kudumu. Leo kwetu, kesho kwenu. Ni suala la muda tu.
Kulia, kupokezana. Furahia shibe kabla njaa haijakukuta.
Hata hivyo, si lazima watu wote tufanane mtazamo. Kutofautiana kwetu ndio kunatufanya tuwe jinsi tulivyo (our differences makes us who we are)
I see!
Sasa kama kila kitu kiko sawa kuna haja gani ya kuwa na wizara?
Kama nchi imeshafikia ukomo wa maendeleo yake kuna haja gani ya kuwa na wabunge? Kama kiongozi anachotaka ni kusifiwa tu, hakuna sababu ya kujadili wala kuweka mipango kazi ya maendeleo.
Imetosha!. Kukubaliana au...
Namsihi kila mtanzania apaze sauti yake aseme SASA IMETOSHA.
Kila kukicha ni taarifa za fulani kakamatwa, fulani katekwa, fulani huyo huyo inakuja kujulikana ameshikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuikosoa serikali.
Kwani serikali ni nani? Nini maana ya serikali? Serikali si ni taasisi...
Kuzuia watumishi wa umma, waajiriwa wa serikali na wanachuo kujadili mstakabali wa nchi yao kwenye nyanja ya kisiasa, kwa kisingizio cha kutochanganya masomo na siasa, kazi na siasa; huo ni utumwa.
Hao hao ndio wanahamasishwa kupiga kura kuchagua viongozi wa kisiasa ila hawaruhusiwi kujadili...
Katika hali halisi ya maisha hatuwezi watu wote kualingana namna tunavyoendesha maisha yetu. Vivyo hivyo hata mataifa hayawezi kufanana kiuchumi. Vigezo vya upimaji wa uchumi si tu namna wanavyoishi bali pia hupimwa kutegemea na rasilimali zilizopo katika nchi husika..
Hakuna asiyejua kuwa...
Kila mara ninapomsikiliza rais Samia, naona wazi ana uhakika kabisa kuwa alipigiwa kura kwa asilimia 97. Haoneshi kuwa na wasiwasi wala mashaka. Japo ni kweli kuna maeneo vurugu zilitokea katika vituo vya kupigia kura. Na ni kweli mabox ya kura yaliharibiwa.
Je, tume ilipaswa kufanya nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.