Kuzuia watumishi wa umma, waajiriwa wa serikali na wanachuo kujadili mstakabali wa nchi yao kwenye nyanja ya kisiasa, kwa kisingizio cha kutochanganya masomo na siasa, kazi na siasa; huo ni utumwa.
Hao hao ndio wanahamasishwa kupiga kura kuchagua viongozi wa kisiasa ila hawaruhusiwi kujadili...