Braza tukushauri kwenge ipi ya kukutana nae au... Mshawishi akafanye viral load kwanza na kama kukutana nae ni kitu cha kawaida sana mnaweza mkakutana nae kabisa na yakubidi ukubali kuwa hawezi kukuambukiza kama ashaanza kutumia ARV japo hauamini ila ni hivo.
Sony mobile phone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.