Kitu kilichonifurahisha tangu huu uzi utoke hadi leo lengo la huu uzi haujafanikiwa! Wenye akili wamekwepa na kumuacha mtoa uzi akiteseka tu! Kuna DINI ilikuwa inatafutwa iongelewe ila kila mtu kaongelea umwamba wake,utajiri wake,ujuaji wake,kipengele cha hiyo dini wamekichokonoa baadhi ya...
Daaaah mi nishazeeka,mfano zamani ilikuwa naweza sana kubishana ila kwasasa naweza kusema kitu mtu akibisha namwambia tu its ok,ukija kudhihirika ukweli ndio naweza kumwambia si nilikwambia au pia naweza nikakaa kimya tu abaki mwenyewe anajisemea ila jamaa alisema
Yaani niwe mkweli kuanzia kwa dr salim,Mrema hadi Biteko sijaona kitisho ulichoandika,yani nilichoona ni maoni yako wewe ambayo yanajulikana tu,zaidi nimeona neno why why,ule uhatari uliosema unauona binafsi sijauona,Sijui DIPIII WELDIII IMEINGIAJE,Yaani kwa ufupi haya ni mawazo yako na sio...
Mi kwangu shida sio ni kiasi gani amepata huyo mke,mi shida yangu ni mwizi huyo! Kuhusu kumuacha au kuendelea nae atajua mwenyewe ila tatizo huyo ni mwizi!
Juzi nilikuwa nasafari nikawa na kibeg changu kimoja,kwenye buti wakasema niingie nacho ndani,kuingia nacho ndani pale juu kwa mizigo hakiingii,basi mlangoni kuna ilani kabisa usiweke mzigo chini utaharibu system ya kuchajia simu[emoji3] nilichokifanya nikachukua kile kibegi na kukiweka...
Binafsi wala sijaona swali gumu hapo eti Hijabu alitoa wapi sasa si alishajiandaa ba Jose alinunua? Alitokaje wakati kuna fence? Hicho ni kipindi cha mitihan kuna wanafunzi wanaingia na kutoka pengine alijichanganya akatoka,eti mkuu wa shule kuwapa pole wazazi nalo ni swali la kufikirika? Si...
Binafsi wala sijaona swali gumu hapo eti Hijabu alitoa wapi sasa si alishajiandaa ba Jose alinunua? Alitokaje wakati kuna fence? Hicho ni kipindi cha mitihan kuna wanafunzi wanaingia na kutoka pengine alijichanganya akatoka,eti mkuu wa shule kuwapa pole wazazi nalo ni swali la kufikirika? Si...
Kiukweli hizi kelele ukitaka ujue shida zake uwe umechoka,kuna siku nilikuwa Double tree au Boma maeneo nafikiri ya meco na Buzuruga,nikagonga sana vyombo mpaka saa nane usiku au tisa,nikatafuta room karibu na palepale nikalala,kwakuwa sikuwa na kazi yoyote na sina mke wala familia huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.