wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,211
- Thread starter
- #21
Dah NEW FORCE ajitathimini madereva wake yawezekana ni cheap labour
Pale kuna madereva top mzee sema mwendokasi tatizo
Dah NEW FORCE ajitathimini madereva wake yawezekana ni cheap labour
Ajali ya saba kwa kampuni moja au makampuni tofauti?
Piaa huu ni nusu mwaka watu wanatafuta vyakwao mkuu
Kumbe ndio wewe asee una mitusi mizito sana halafu wala hufananii. Tulikaa siti moja.Mimi juzi nilipanda travel partner tumefika morogoro gar tair ina panch baada wanabadili tair wanajaza upepo matokeo yake tumefika mrandiz bus likataka kuvamia fuso ase nilitukana mpaka wakashangaa
Yaa o mtu mmefika af anataka kuwavunja miguu na mikono hawa madereva wanajazana ujinga kushindana barabarani
kwa hiyo ww unaona hapa jamaa wame fanyiwa figisu? idadi iliyo tajwa ya hizo ajali sio sahihi?Aisee kama ni campaign ya kuwapiga spanaa basi mnaelekea kufanikiwa
Mbona mwanza Allys ana stendi yake, katarama yake, happy nation yake, ahsante rabi ya kwake, satco ya kwake, bright ya kwake n.kNimetafakari na kuona dawa ni kuwa na standi za Makampuni kulingana na anapopata wateja wake, hii kuwa na stand kubwa ya kimkoa inachochea sana mashindano, kama ni stend kuu apitie kadiri muda utaruhusu ila isiwe kama Tai, huu ujinga wa madereva hauwezi kurekebishwa Kwa kutumia hizi sheria uchwara za Latra kufungia Magari
Inasadikika kampuni ina mkono wa mstaafu mwenye kilogram nyingiNew force zitazamwe kwa undani sasa kuna haja ya kufanya uchunguzi kwa madar3va wake
Ukinichokoza lazima niwakeKumbe ndio wewe asee una mitusi mizito sana halafu wala hufananii. Tulikaa siti moja.