Recent content by Lamah 1334

  1. Lamah 1334

    Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    huo usenge wako wakuchagua wanaume ndo mchawi wako, heti maji ya kunde... hata humu hupati sasa wote weusi.
  2. Lamah 1334

    Trump ataanzisha chama chake na ndio mwisho wa vyama viwili vyenye nguvu Marekani

    Acha kuota wewe. Labda hicho chama chake kipandishe satelite juu. Ukipingana na China au Russia ni sawa umepingana na Mungu. Hizi nchi zinanguvu sana kitechnologia Bro. kudukua daka mmoja aiombe radhi china ndo ajitafakari kuanzisha hicho chama chake. vita vya kiuchumi vinaleta impact hadi...
  3. Lamah 1334

    Wasomi na kiingereza

    yes is me coming now now.
  4. Lamah 1334

    Hivi mtu akifa na hela zake ziko benki na Mpesa, tukiwa na cheti cha kifo tunaweza fuatilia?

    Fungua maombi ya mirathi mahakama ya mwanzo uambatanishe na hicho cheti cha kifo pamoja na mutasari wa kikao cha ukoo/ familia kuonyesha umeteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi wa mali za marehemu. Kama marehemu ameacha wosia ambatanisha huo wosia pamoja na cheti cha kifo. kazi yako ni kukusanya...
  5. Lamah 1334

    Zitto: Taarifa ya TRA kukusanya trilioni 2 ni ya kubumba

    just a taxpayer, though he has the right to question the authority upon it nor you. And he did it for public interest.
  6. Lamah 1334

    Hawa ndio wanaume wanaongoza kuishi na wanawake ndani

    That is not a conclusive research. It just a merely assumption. simply show us the Hypothesis, methodology and result upon.
Back
Top Bottom