Yona mdogo wangu uliwahi kufikiria maudhui ya kuanzishwa JF kabla ya kujiunga? Uliwahi kufikiria inawalenga watu gani katika jamii? Mbona mitandao ya kijamii iko mingi sana kulingana na malengo, akili na maisha ya mtu?
Ningekushauri na wewe jaribu kuwa kimya mkuu, kwa maisha ya sasa ya TZ na watanzania na kwa alama za nyakati zisomekazo hakika ni bora ukae kimya hata kama una mapenzi makubwa kiasi gani kwa CCM
Mshauri aache, mwambie kwa upole tu ila kama hataki kusikia basi mshauri awe anatembea na KY siku hizi siku yakimfika ya kumfika itamsaidia labda asiumie sana
Bahati yako mkuu mama yupo, mimi mama nae alishatangulia mbele za haki, huwa nawaza sana kama agekuwepo yaani. Infact nimepata uchungu mpya kabisa wa kufiwa na mama kipindi wife kafariki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.