Wabongo mnaboa sana ,mnapenda kutoa madomo yenu kila mahali wewe ulitaka awafungulie account kila mlemavu,mbona juzi yule mdada aliyeokotwa kibamba mmemuanika uchi mpaka kumuingiza kwenye gari mbona hamkulalamika afunikwe hata kanga au hata afunikwe kwa magazeti kama hakuna kanga.mchuuuuuuu
sasa wewe uliyeanza na mil.5 kwahiyo sasa unazo mia moja au? Na pia aliyenunua viwanja vyake 2 Tegeta mwaka 1990 wataka kuniambia kwa sasa anaweza kukinunua au angeshindwa kabisa ?na watu wote Dar hawawezi kujenga O.Bay.Usijekuwa kama watu flani wanafika ulaya na kuwauliza wengine kwanini...
Wakuu salaamaleikum.Naomba msaada wa hili.kwa wanaokaa Dar mwenye uzoefu atusaidie
kipi nafuu Kutengeneza kisima cha maji au kununua Water tanks.Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.