Recent content by ladylady

  1. ladylady

    Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

    kumbe kuwa na KIMADA ni jambo la kawaida au ufahari. baba mwenye mke na mtoto unaweza kuandika maneno hayo bila kuwa na hofu? kama umeweza kuwa na huyo kimada mtimizie yote anayotaka, MGEUZE tu maana hata kuwa na KIMADA ni laana hakuna kosa kubwa na dogo. SHAME ON U
  2. ladylady

    Faida 17 za kiafya za kufanya mapenzi salama (sex and its health benefits)

    YES , inabidi nijipange upya. hizi faida ni muhimu sana
  3. ladylady

    Unamshauri vipi mpenzi wako aache kufanya usichokipenda?

    napenda sana comment zako unajibu kwa hekima sana.
  4. ladylady

    Nimeshindwa kujieleza!

    msaidie watu8
  5. ladylady

    Dunia haina huruma

    mmmh kazi dunia hii... kuna makubwa wee funga naye ndoa ulivyokuwa unapita mlango wa uani ulitegemea nini kama kachanga kakijia huko hapo thatha. nimepamiss hapa jf kumbe kuna vituko mbavu zangu mie
  6. ladylady

    Nimechoka

    mmmh pole dada angalia mtoto wako achana na hawa jamaa atakuumiza kichwa chako bure. wengi tumepitia huko na tuko kwenye matatizo hayo kama una mtoto au watoto tafuta namna ya kufurahi na watoto wako.
  7. ladylady

    Tunawapenda sana wanawake ..

    asante sana kwa heshima hiyo uliyotupa kweli wewe ni baba bora. endelea kupata bless tele na tele ni wachache tu wanaojua thamani ya akina mama au wake zao.
  8. ladylady

    Tutofanya mapenzi kwa muda mrefu kunaweza kusababisha maumivu wakati wa mechi?

    muda mrefu ni muda gani miezi au miaka mingapi? ebu wekeni wazi hilo nalo tulijue
  9. ladylady

    Rafiki wa Mchumba wangu ana shida nimsaidie?

    sasa unafikiri ikiwa gf wake ana wivu atakubaliana na jambo hilo. Yaani mimi nikijua umempigia simu mtu wangu unashida na mawasiliano yangu unayo wewe na yeye mtanitambua walaaaaaaaaai .
  10. ladylady

    Rafiki wa Mchumba wangu ana shida nimsaidie?

    mazingira umeyatengeneza mwenyewe ya kuombwa pesa. Acha kuzungukazunguka mwambie ukweli huwezi kumpa apitie kwa gf wako kwanza.
  11. ladylady

    Wanawake kuendesha gari peke yao...

    Kwa hiyo na lile langu nimeongwa????????? Hata wewe baba fulani ulishindwa kunihonga.
  12. ladylady

    Mapenzi ya Jf Yamenitokea Puani

    ulimgegeda siku ngapi? Siku uliyofika usiku kucha ? Kesho yake maana ulikuwa hujakata ticket ya kurudi mbeya sasa hizo siku zote mbili hukuona kama unaweza badili mawaza. Mtu kama hujampenda huyo mzee anawezaje kusimama? Ndiyo mkome maana humu kuna watu kazi yao ni kutafuta ving'ast tu...
Back
Top Bottom