Ushauri jamani

Ushauri jamani

kawaida hiyo , cha muhimu ahakikishe anamtunza jamaa yake kwa lishe bora na aphrodisiac foods bila kusahau kujiweka vizuri kimwili.
 
i cant imagine nafika menopouse.........nakosa mautamu........ntakufa kwa stress mie!!!
Badilisha aina ya starehe... Stress zinatupata kwa kuwaza starehe ipo moja tu, afterall tuna milango mitano ya fahamu
1. Kuona, unaweza ukapata starehe kwa kuona au kuangalia tu
2. Kugusa, kugusa nako kuna starehe yake
3. Taste, we lamba lamba vitu kadhaa ujuwe radha ya hivyo vitu. utapata starehe pia...
4. Kusikia nako kunaleta starehe
5. Kunusa nako kuna starehe yake bana

 
Badilisha aina ya starehe... Stress zinatupata kwa kuwaza starehe ipo moja tu, afterall tuna milango mitano ya fahamu
1. Kuona, unaweza ukapata starehe kwa kuona au kuangalia tu
2. Kugusa, kugusa nako kuna starehe yake
3. Taste, we lamba lamba vitu kadhaa ujuwe radha ya hivyo vitu. utapata starehe pia...
4. Kusikia nako kunaleta starehe
5. Kunusa nako kuna starehe yake bana


haya yote nifanye nikifika menopouse....eti eeenh?
asante mwaya!
 
kwa hiyo mimi na shosti ake ladylady hatuchekani!
ahahahahahhahahahhahahahahahahhaa L.M.A.O

siyo shost ni dogo langu hilo. kwa hiyo na wewe uko hivyo ebu tupe maexperience bac nimsaidie huyu mtoto
 
acha afanye tu navyojua mim hyo haina madhara wala si implication kuwa ana tatizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom