Recent content by Ladyheart

  1. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania zoom@Tz NIMEWAKUBALI

    Hongera sana,mungu abarikiwe..
  2. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Aliyemuuua RPC Barlow alihudhuria mazishi yake pia! Kisa cha muuaji na alivyohudhuria mazishi...

    mmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhh,kazi ipo kweli kweli,.kweli adui yako huwezi mjua kwa kumuangalia.....
  3. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Picha yangu ya leo hii

    hii inaonyesha ni jinsi gani Tanzania ilivyozungukwa na bidhaa bandia....bila kujua wapi pa kuanzia kuzuia,hata hao TBS wameshindwa kzuia...
  4. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Hebu angalia wanyamwezi tunavyo Re-mix maneno/majina ya kiingereza/kiswahili.

    hahahahahahahahahahaha hii kali.....
  5. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Mchaga na Mpemba.

    yakheeeeeeeee nimeipenda hiyo....
  6. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wa kike

    jitaidi unaweza mpata atakaelingana na wewe....endelea hivyohivyo..........
  7. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Msaada jamani.

    Jamani nipo ktk harakati za matibabu kisha ntawapa feedback..
  8. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania since i started dating her..mambo hayaendi kabisa..

    mm nadhani ww unamatatizo,tena sio mwanaume wa ukweli,wiki mbili 2 eti dili haziendi,kwani una mkataba na mungu km kila cku dili zako zitakuwa poa tu...maisha sio tambalale kijana,maisha ni mjumuisho wa mabonde,tambalale,vikwazo,nk...ww ni chovya chovya,huna true love.
  9. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Msaada jamani.

    asante sana.
  10. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania since i started dating her..mambo hayaendi kabisa..

    Gundu unalo mwenyewe,ulikurupuka ktk mapenzi,ulijua mapenzi ni lelemama..?jipange kwanza ndio uanze mapenzi,laa sivyo kila utakayempata utasema ana gundu,kumbe lako hilo kijana.
  11. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Msaada jamani.

    nimefahamishwa kwa dk akenywa au ikenya..nimeambia yupo muhimbili au magomeni kuna hospitali yake pale..
  12. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Msaada jamani.

    ntajaribu kumtafuta km sitopata ufumbuzi hospitaki.
  13. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Msaada jamani.

    kesho ntaenda kufanya hy culture ili nijue nn tatizo,kwani nateseka sana,ngozi yote ya mwili imeharibika.
  14. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Je kwa mwanamke anaependa kujichua mwenyewe kwa mikono kuna madhara gani..?
  15. Ladyheart

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa kiharusi/ kupooza (stroke): Kinga, tiba na jinsi ya kukabiliana na maradhi haya

    Asante kwa kunifunua macho,kwani nilishawahi kuona mama mmoja anafariki kwenye gari bila kujua nini tatizo,baadae alikuja mtaalam akasema alipatwa na kiharusi....
Back
Top Bottom