Ebu wakati mwingine muwe na aibu na utapeli huu. TB Joshua hana mwanafunzi na ulisitumie jina la TB Joshua kutapeli. Jina linaloponya ni la Yesu pekee. Huduma za hotelini ni za kitapeli tu.
Hii hatari aisee, yani toka kuzaliwa kwake mpaka sasa hajawahi kuonja. Ila kwa yote sifa apewe yeye aliye muumbaji, kuna mwingine uzaliwa hana macho, mwingine mikono, mwingine kiziwi, mwingine kipofu, mwingine kilema n.k lakini cha huyu kaka ni hatari, na kama kazaliwa hivyo ni vigumu kupona kabisa.
Kwa mapenzi hayo cousin wako ni hatari sana, wanawake wanabeba siri kubwa sana ktk familia, ndiye anayejua baba wa mtoto. Sasa ikitokea mumeo kujua si kifo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.