Recent content by lady Jay

  1. lady Jay

    Natafuta kazi au part time job Arusha

    Habari zenu,heri ya mwaka mpya wapendwa. Mimi ni mdada mwenye degree ya accounting na nina uzoefu kwa zaidi ya 5 years.Niko vizuri sana kwenye tax compliance zote za TRA na za serikali kama NSSF,WCF, Service levy,etc. Pamoja na hayo yote,niko detail oriented na pia nina uzoefu wa accounting...
  2. lady Jay

    Haya ndio makabila yenye kuongoza kwa kuwa na Wanawake wenye viburi hapa Tanzania

    Makabila yote hayo yananihusu[emoji23] Ila mbona sina kiburi
  3. lady Jay

    Uzi kwa Mdada Mzuri Mwembamba

    Wembamba tumefikiwa walau [emoji1787][emoji1787]
  4. lady Jay

    Jinsi uanaume unavyofanywa kuwa complicated siku hizi!

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  5. lady Jay

    Nawaonea huruma rafiki zangu, usiombe kuzaa na mwanamke asie na akili

    Wewe hudumia mwanao..Ndo jambo la msingi mkuu
  6. lady Jay

    Nawaonea huruma rafiki zangu, usiombe kuzaa na mwanamke asie na akili

    Yaani wanaume siku hizi wanaona sijui fashion kutelekeza watoto.. Mimi nilimwambia kabisa akomeeee kupiga simu eti anamuulizia mtoto wakati kwenye matumizi anaona ahusikiii.. Na kifuatacho, mwanangu akikua nitamwambia babake alifarikiii.. Mnaboaaa sana
  7. lady Jay

    Ushauri: Sijapata mtoto kwenye ndoa nahitaji wa kuzaa naye nje. Naumia kwa msongo wa mawazo (Depression)

    Wengine wanawakimbia watoto wao , Na wengine wanatamani kuwapata watoto
Back
Top Bottom