Ushauri: Sijapata mtoto kwenye ndoa nahitaji wa kuzaa naye nje. Naumia kwa msongo wa mawazo (Depression)

Asabte kwa ushauri ila kama hutojali naomba mawasiliano ya uyo boaz
Ingia tu Insta au hata youtube ana channel yake. Andika boaz mkumbo utamuona. Then soma.makala zake mbalimbali af ukiona unahitaji zaidi wasiliana nae personally.
Pia ana kitabu kinaitwa sayansi ya mapishi if sijakosea. Kina muongozo wa vyakula.
I had a friend alikua na the same problem kama ya wife ako. Akaanza kufuata huo utaratibu plus mazoez. Uzito ukaanza kushuka, by mwez wa 3 akaconceive. Mpaka sa hv ana mimba kubwa tu
 
Miaka miwili bado midogo sana kwa ndoa yenu na wala usiwaze kuzaa nje kwa sasa.
Mwenyezi Mungu yupo na wenye subira.

Kama mmeshafanya vipimo na pia mmetumia dawa basi nakushauri mueleze mkeo pia asiwe na mawazo sana ya kuwa na mtoto kwa muda wote na wewe pia wazo hilo ondoa kichwani mwako nyie jipeeni haki ya ndoa yenu kama inavyotakiwa na huku mkiwa na amani kabisa kwenye mioyo yenu.

Hakika haitaweza kupita mwaka bila kuona majibu.

Kwenye haya mambo ya uzazi mkiweka panic huwa inakuwa tofauti sana matokeo mnayoyawaza, kama mmeshahangaikia inatosha tulieni kwa mwaka mzima huku mkijua ratiba ya mzunguko wa mkeo ukoje.


Panic mode kama uliyonayo wewe ni mbaya sana usifanye jambo kwa muhemko tulia miaka 31 bado si mingi sana kwa baadhi ya watu tunaowafahamu wamepitia ndoa zao miaka 12-16 ndio wanakuja kupata watoto.

Na mara nyingi watu wanaochelewa kupata watoto huwa Mungu anawapa baraka unakuta uzao mmoja au miwili ni mapacha hivyo unajikuta unawatoto wengi katika kipindi ambacho haukutarajia.

Usizalishe nje kwa sasa mpe moyo na mfarije na mtoe shaka mkeo na mkabidhini Mungu kilio chenu.
Una special seat mbinguni
 
Mwaka juzi umefunga ndoa..Leo unakata tamaa...
Mi nna ndugu yangu anapewaga maono ndotoni mmea mmoja anaujua mwenyewe anawachemshia watu anawapa for free na mimba wanashika.
Ameshasaidia mpaka mabosi government wake zao.marafiki nk.
Usikate tamaa mapema.kuna wenye miaka kumi hawana watoto
Huyu jamaa miaka 31 ana haraka sana. Mke wangu alipata ujauzito baada ya miaka 9.
 
Balaa wapi bwana...wewe unadhani mie kwa ugegedaji wangu huu nijaribu kuzaa sii karma itahakikisha napata mtoto wa kike ili na mie nisikie uchungu jinsi vihandsome boy vitakavyokiwa vinavyo mpelekea moto mbususu yake.
Au mbaya zadi naweza nikamkula mwenyewe hiyo mbususu kama ni mzuri sana
Umeandika upumbafu gani leo jpili umkule mtot wako
 
Ingia tu Insta au hata youtube ana channel yake. Andika boaz mkumbo utamuona. Then soma.makala zake mbalimbali af ukiona unahitaji zaidi wasiliana nae personally.
Pia ana kitabu kinaitwa sayansi ya mapishi if sijakosea. Kina muongozo wa vyakula.
I had a friend alikua na the same problem kama ya wife ako. Akaanza kufuata huo utaratibu plus mazoez. Uzito ukaanza kushuka, by mwez wa 3 akaconceive. Mpaka sa hv ana mimba kubwa tu
Thanks
 
Hajawai kutoa mimba yoyote ila hali ya kutokuona period hadi miez mi 3 ni hali aliyokua nayo toka zamani . Alifanyiwa vipimo akaambiwa ana vile viuvimbe vidogo ( ovary cyst) ambocho doctor halisema hakina madhara naxwadada wengi huwa navyo. Alipewa dawa za kumeza ili ku balance hormone (bigomet) ila bado period ibapitiliza.
1.anakitu inaitwa mirija imeziba
2.kuna dawa ya fulani akitapishwa tu inaisha ila kumpata huyo mtu ndio gharama yupo mbali sana na hapo kwenu
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom