Hasa kwenye inbox zangu every weekend and then ni huu utumbo wa FLP kwa nini vijana na wenye nguvu msifanye kazi zinazoonekana na mapato mkalipa serikalini??!!!, Mara kiyosaki sjui nani na nani ya nn!!!
Habari zenu wakuu,
Ninaomba kujua legality ya state attorneys na city solicitors kuapisha watu, 'kufanya attestation', are they commissioners for oaths?
Heeeh mabilionare wanaishi industrial area!!! Shame upon their faces!, upuuzi mtupu si bora kuwasha karabai moshono lkn unapata muda hata wa kutafakar ya jf!, hizo jenereta za Hilary hapo IAA ni nini kaa sio utumwa hata unishawishi Leo kuishi maeneo ya viwanda!!!
Huwa sishabikii siasa lkn hapa ninalo neno, HATA KAMA SIIJUI SAYANSI YA SIASA ikiwa chama cha siasa hakisemi wazi kinataka kushika Dola hicho ni
chama au NGO?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.