Huu nao ni ufala, dunia nzima maana yake nini? Haya mambo ya Magufuli ndo dunia nzima, kama ulisoma kweli wasiwasi wa nini, ina maana na Phd uliyonayo hujui la kufanya?!
Lakini hata kuingia Seminari ilibidi mtihani ufanyike, na aliufaulu so yaonekana alikuwa bright, kuna mtu alisema Magu alikuwa mlaji wa mboga ya Msukuma, ndo akatimuliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.