Zamani wazazi walimwandaa mtoto wa kiume aje kuwa msimamizi wa familia kwa kumpa kipaumbele kwenye elimu/ujuzi wakimalizia na urithi/mali kabla hata hawajafa.
Saivi tumebanwa na usawa nguvu inaelekezwa kwa wote na mtoto wa kiume anakosa maandalizi makubwa na anayostahili.
Mtoa mada...
Usikiogope kifo, wala usihangaike kukipangia kikukute wapi ukiwa na nani.
Hawa watu waliokufa bila kurusha miguu wala kupiga kelele za usumbufu nimewaonea wivu mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.