Recent content by la la land

  1. la la land

    Furaha isiyo na raha..! Ama raha isiyo na furaha..hakuna ladha!

    Ni Tyrant of the year. Ni Takataka, nuksi mikosi katika taifa letu.
  2. la la land

    VOA wanyimeni UFM hali ya kurusha matangazo yenu, ni machawa

    Iliyokatishwa jana jioni..... Watetezi wa haki wanazitaka serikali katika nchi zao kuongeza juhudi za kusitisha ukiukaji wa haki za binadamu.
  3. la la land

    VOA wanyimeni UFM hali ya kurusha matangazo yenu, ni machawa

    Kama Jumamosi ulifanyiwa uhuni..... Maoni: Uchaguzi wa serikali za mitaa Tanzania ulikuwa huru? – DW – 06.12.2024
  4. la la land

    VOA wanyimeni UFM hali ya kurusha matangazo yenu, ni machawa

    Ni kulisongesha na tovuti, huku hawawezi kutukatia https://www.dw.com/sw/sauti-zetu
  5. la la land

    Mtu aliyesoma akaelimika akakombolewa kifikra hawezi Kutoa au kutolewa Mahari

    "Wazazi Bila aibu mnakaa mnajadili na kupanga bei ya Binti Yenu. Kisha kijana naye anakuja kutajiwa bei Kisha ati mnashushana bei mara Milioni nne. Mwanaume anasema Nina Milioni Mbili unusu, ooh mnamwambia tatu mwisho kama mnauza tukutuku."
  6. la la land

    Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

    Boom likichelea, pass ndefu ikakolea hata wewe ungeandika
  7. la la land

    Program gani ya AI inatafsiri sauti kupeleka kwenye maandishi?

    Tumia Copilot, hadi kiswahili inakubali.
  8. la la land

    Kwanini Kiporo cha Wali Maharagwe Yaliyo na Nazi ni Kitamu Zaidi ya Chakula Hicho Hicho Kikiwa Fresh from Kitchen

    Nilikuwa na tabia ya kubakiza kwa makusudi ili nikile kama kiporo asubuhi. Na kwa pilau pia. Nikila iliyotoka jikoni nakinai haraka tofauti nikila kesho yake.
  9. la la land

    Wapi pameandikwa hela za mwanamke ni za matumizi ya kwake tu?

    Zamani wazazi walimwandaa mtoto wa kiume aje kuwa msimamizi wa familia kwa kumpa kipaumbele kwenye elimu/ujuzi wakimalizia na urithi/mali kabla hata hawajafa. Saivi tumebanwa na usawa nguvu inaelekezwa kwa wote na mtoto wa kiume anakosa maandalizi makubwa na anayostahili. Mtoa mada...
  10. la la land

    Kiukweli, sio upendeleo au mapenzi, ila huyu ndie msanii bora wa kike hapa Tanzania

    Mimi sio mwangaliaji kabisa wa kazi zetu ila siku nimeangalia nikiwa ugenini niliwaambia waliokuwa pale kuwa huyu anajua anachofanya mbele ya kamera
  11. la la land

    Spear parts for Construction machines

    Kwa sasa nipo Arusha, itabidi nimuagize mtu.
  12. la la land

    Spear parts for Construction machines

    Haijanunuliwa dukani.
  13. la la land

    Spear parts for Construction machines

    Mkuu unaweza kunipa mwanga wapi naweza kupata Clutch master cylinder ya massey Ferguson 3085
  14. la la land

    Natafuta Clutch master cylinder ya Massey Ferguson 3085

    Wakuu, msaada tafadhali. Natafuta Clutch Master Cylinder ya Massey Ferguson 3085
Back
Top Bottom