Hospitali ya rufaa ni sehemu ya wagonjwa mahututi, sishangai wakifariki.
Sitegemei kusikia mtu kafiwa AAR, maana pale watu wanaenda na mafua, wakiwa na cancer wanaenda Muhimbili.
We jamaa sijui ndio kichwa kitupu au ndio kupenda ubishi usio na akili. Hilux Single Cabin haina 4WD na hata yeye hajasema ina fourwheel, kwa hiyo lazima itazidiwa uwezo na IST ikiwa hiyo IST ina four wheel drive. Au ni nini kigumu kuelewa hapo?
Ukiona kitu kinakuwa covered na mashukashuka na urembo ujue ndani kuna siri nzito. The day sofa langu seating room lilifumuka ndio nikajua kuwa sidiria na gagulo zilizoisha zinaweza kuwa reused
Mtoto wa kiume una kiherehere kama mama wa kiswahili. Yaani kwa kupenda umbea hata hukukumbuka kuvaa nguo, ni CBA na sio BOA. Nenda pole pole basi, na wanadaiwa wengi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.