Habar mtoa mada,
Tunashukuru kwa ujumbe ulioleta kwenye hili jukwaa, binafsi ningependa kujua huyu masanja hicho cheo cha Uaskofu amekipata wap? Au kuna utaratibu gan wanapitia watumishi kupata hicho cheo maana naona kuna uwezekano mkubwa wa kuwalisha watu/ waumini mafundisho yasiyo sahihi kama...
Kweli wajinga mpo wengi...ndo maana hatuendelei jifunze kusoma basi 2 co kila kitu unashabikia ikifika tym yetu nahic utaacha kuingia kabisa hii site...
CHADEMA 4 CHANGE!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.